Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,147
- 124,750
Mi nilichopata fedheha pamoja na kibuti,nilimtumia barua asubuhi nakuta imetundikwa kwenye mbele ya assemble ya wanafunzi kama tangazo,sikuulizia hata majibu,nikimwona natamani ardhi ipasuke.
Hivi sijui unakuwaga ni utoto ama kitu gani