TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
Kumbe ndiyo wewe ulikuwa unanifanyia hivyo lol malipo ni hapa hapa duniani.haha
Hahahaa ndio mm uyuuyu najuta kukufanyia vile ujue...(kiding)
Kumbe ndiyo wewe ulikuwa unanifanyia hivyo lol malipo ni hapa hapa duniani.haha
Bora wewe umeamua kusema ukweli ...!!
Nipo mkuu.Hujawahi kuwa kwenye mahusiano?
Mkuu sidhani kama umeelewa nilichoandika!
Kweli mapenzi ukiingia kichwa kichwa ni shida sana, kitu ambacho nashukuru sijawahi kupigwa kibuti wala sijawahi kuacha kwa kupiga kibuti cha kutamka maneno.
Nilijifunza jambo kubwa sana kabla sijaingia katika mahusiano na kumvulia mwanamke nguo hiki ndicho kinanifanya mpaka leo vibuti na maumivu ya mapenzi nayasikia kwa watu tu.
Endelea aisee .....!!!!!!!
Mialienipiga kibuti ni senior member humuhumu jamvini 😛eep::horn:
Baada ya kumpenda sana uyo jamaa mwingne ambae alikua mkoa mwingne kikazi ...... aliaanza kuniletea mapozi yani anaeza kaa ata sk tatu ajapiga simu kwakua nlikua na mpenda sana nlikua namtafta ilifika kipindi nikipiga sm anakata najua labda kabanwa na kazi namtumia msg nikiona ajajibu najua labda kachoka kazini napiga tena sm anakata.....
Jaman ctokuja kumsahau yule kidume tena yupo umuumu jf na acount yake naijuaa popote ulipo we ulieumiza moyo wangu nakushukuru kwan umenifungulia njia ya maisha mazuri kwan manyanyaso yako yamenipa baraka
Yani mwanaume alinitesa yule nlikua nashinda nalia tu.....kumbe kipindi analeta pozi alikua na mwanamke ambae alikua na ujauzito .....wake kipind icho mm sisomi nlikua nafanya biashara zangu za kusaka pesa japo nlikua dogodogo 2010......aliniacha na kua na uyo bibie ambae madai yake kasoma.......nliliaga kwa uchungu sana......iliniuma sana kwan bora angesema sikutaki......kaoa na ana mtoto sasa......na mm nliamua kwenda shule na mpaka sasa npo shule...
Kupenda kubaya jamani
Duuuh pole sana aisee....
Asante mwaya nshapoaga mie......ila nlikataaga wengi sana kwaajili yake tena nliwakataa kwa mbwembwe nikijua napendwa mie kumbe majanga matupu
Tatizo ni kwamba haya mambo tumefumbwa.....unapopenda wewe na unapodhani unapendwa mara nyingi huwa ni kinyume chake. Ila msamehe bure huwez jua uliepushiwa nini
Kwa nini leo hii ulikua usimlipizie, ungemuelezea mpaka saivi bado nakupenda ili kulipa kisasi
Nshazoea vibuti hata sasa hivi nimetoka kupigwa kibuti
aise mimi ndo maana sr bachela mpaka leo...nshakula vibuti kaa vitatu vitakatifu...kingine hapa jf...ila siku hizi naona kawaida tu maana kwa huu umaskini wangu naona ni sawa tu...