Maulid Kitenge aondoka Wasafi FM

Umewahi kuleta Taarifa ila ukiwa huna 'details' za Kutosha. Hata hivyo sishangai kwani Umbea na Kukurupuka ndiyo Sifa Kuu ya 95% ya Watanzania.

Ni kweli amerejea EFM baada ya Kumaliza Mkataba wake Wasafi Media na hakutaka tena Kuendelea kubakia huko kutokana na Kutokuelewana na Mmoja wa 'Executives' wa Wasafi Media.

Kuhusu Mshahara huo ( huu ) wako tajwa hapa GENTAMYCINE nakupinga kuwa si wa kweli na nakuomba rudi kwa aliyekudanganya hivyo kisha mzabe ( mpige ) Kibao na mwambie Siku zingine asikudanganye tena sawa?

Kimaadili si vyema kutaja Mishahara ya Watu, ila ninachojua Maulid Kitenge hata kama karejea hapo Mshahara wake hautozidi Tsh Milioni Sita ( 6 ) na hata urejeo wake hapo umechagizwa na Urafiki wake wa muda mrefu na CEO Mwenyewe Majizo ( Mmliki wa EFM na TvE )

Kazi Maalum aliyotumwa WM kaimaliza.
nikweli kabisa haiwezekani kamishina TRA apokee mshahara ulingane na mtangazaji wabongo tena kwakigezo kipi
 
Studio wamejazana hadi wengine kama zembwela ngota yake imemezwa ndo kabisaa hasikiki tena
Aliyewaambia wasafi kujaza watangazaji kwenye kipindi kimoja na wote wanaongea at the same time ndo kuwa na kipindi bora ni nani?..
 
Jamaa anamaanisha wasafi kuna karaha?

View attachment 1882410
Screenshot_2021-08-06-10-45-15-83_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Umewahi kuleta Taarifa ila ukiwa huna 'details' za Kutosha. Hata hivyo sishangai kwani Umbea na Kukurupuka ndiyo Sifa Kuu ya 95% ya Watanzania.

Ni kweli amerejea EFM baada ya Kumaliza Mkataba wake Wasafi Media na hakutaka tena Kuendelea kubakia huko kutokana na Kutokuelewana na Mmoja wa 'Executives' wa Wasafi Media.

Kuhusu Mshahara huo ( huu ) wako tajwa hapa GENTAMYCINE nakupinga kuwa si wa kweli na nakuomba rudi kwa aliyekudanganya hivyo kisha mzabe ( mpige ) Kibao na mwambie Siku zingine asikudanganye tena sawa?

Kimaadili si vyema kutaja Mishahara ya Watu, ila ninachojua Maulid Kitenge hata kama karejea hapo Mshahara wake hautozidi Tsh Milioni Sita ( 6 ) na hata urejeo wake hapo umechagizwa na Urafiki wake wa muda mrefu na CEO Mwenyewe Majizo ( Mmliki wa EFM na TvE )

Kazi Maalum aliyotumwa WM kaimaliza.
Genta charismatic fellow...nmekuelewa sana...ila hapo kwe #kazimaalum hapo...naomba nipigie zaidi mstari
 
Mbona Lily Ommy anayo, yule jamaa nilisikia japo sihathibitisha anahamia huko US sijajua kapata kazi gani.
Wewe hata Ommy subiri tu.Maana wafanyakazi wengine nao watataka waruhusiwe.Eti apate kazi USA kwa elimu gani aliyonayo ?
 
Wewe hata Ommy subiri tu.Maana wafanyakazi wengine nao watataka waruhusiwe.Eti apate kazi USA kwa elimu gani aliyonayo ?
Kwani ana level gani ya elimu?

Halafu sio kila anayehama ana beef na mmiliki, industry ya habari siku hizi ipo vizuri, husishangae kesho kitenge au Jonijo wamerudi Wasafi, hii biashara watu wanaangalia maslahi.
 
Back
Top Bottom