Ameshatangaziwa dao nono huyo kutoka usafini..Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2893036
Djaro amefanya kazi TBC kwa muda wa miaka 20.
Written by Mjanja M1 ✍️
MimiSasa tbc ntamsikiliza nani😭
Labda ndio taratibu za kazi zinamlazimisha kufanya hivyoKwann amejirekodi
Fagio linaendelea..
Ameshatangaziwa dao nono huyo kutoka usafini..
Kuna walakini maana yawezekana hawa sio wa kwanza kuacha kazi TBC. Labda kama clip ya Tiddo nayo ipoLabda ndio taratibu za kazi zinamlazimisha kufanya hivyo
Hama channelSasa tbc ntamsikiliza nani😭
Subiri wengine wanafuataKuna walakini maana yawezekana hawa sio wa kwanza kuacha kazi TBC. Labda kama clip ya Tiddo nayo ipo