Maulid Kitenge aondoka Wasafi FM

Umewahi kuleta Taarifa ila ukiwa huna 'details' za Kutosha. Hata hivyo sishangai kwani Umbea na Kukurupuka ndiyo Sifa Kuu ya 95% ya Watanzania.

Ni kweli amerejea EFM baada ya Kumaliza Mkataba wake Wasafi Media na hakutaka tena Kuendelea kubakia huko kutokana na Kutokuelewana na Mmoja wa 'Executives' wa Wasafi Media.

Kuhusu Mshahara huo ( huu ) wako tajwa hapa GENTAMYCINE nakupinga kuwa si wa kweli na nakuomba rudi kwa aliyekudanganya hivyo kisha mzabe ( mpige ) Kibao na mwambie Siku zingine asikudanganye tena sawa?

Kimaadili si vyema kutaja Mishahara ya Watu, ila ninachojua Maulid Kitenge hata kama karejea hapo Mshahara wake hautozidi Tsh Milioni Sita ( 6 ) na hata urejeo wake hapo umechagizwa na Urafiki wake wa muda mrefu na CEO Mwenyewe Majizo ( Mmliki wa EFM na TvE )

Kazi Maalum aliyotumwa WM kaimaliza.
Kweli kbsa mkuu mtangazaji anaelipwa pesa nyingi bongo hii ni gadner g tu around 6m..
Mkataba ulomrudisha cloud kutoka times,
Wanaomfuatia hapo wako kilometer mia mbali,,..
 
Hiki kiwanda cha uchambuzi kinazalisha wat kama farhan mara chache sana..
Dogo anajitahidi sana..
Shaffih hawez kukubali kweli bora amtoe yule priva.
Kabisa yani alaf priva shda yake n kudakia
Mada yani anaweza kudakia mada
Hata mwingine hajamaliza yeye anataka
Aongee hapo anaboa alaf hanaga break
Mchaga Yule n Kama anakunywa
Mtori rombo
 
Kabisa yani alaf priva shda yake n kudakia
Mada yani anaweza kudakia mada
Hata mwingine hajamaliza yeye anataka
Aongee hapo anaboa alaf hanaga break
Mchaga Yule n Kama anakunywa
Mtori rombo
Ana dakia dakia vitu halaf hana content yeyote ye ni mifano tu ..
Alex lwambano mimi namchkulia kama mchokonoa mada anaelijua hasa soka la bongo aliwahi kusema bongo kuna wachambuzi wachache sana na watoa maoni wengi..
Priva ni mmoja wa watoa maoni hana anachojua kuhusu soka..
 
Ni times fm..
Jamaa walimchomoa wakawa wanampa 4.5m na hapo bado alikua ndo mtangazaji anaelipwa zaidi,,
Clouds wakamrudisha kwa kupanda dau tena.
Hapana mkuu, walimtoa efm ambapo alikuwa anahost kipindi Cha ubaoni, ndipo clouds wakamchukua ingawa hapo awali aliwahi kuhudumu hapo clouds
 
Hapana mkuu, walimtoa efm ambapo alikuwa anahost kipindi Cha ubaoni, ndipo clouds wakamchukua ingawa hapo awali aliwahi kuhudumu hapo clouds
Yeah nimekumbuka mkuu ..ila alianzia times fm kwanza baada ya kutoka clouds alikua na mzee mmoja anaitwa chap chapuo,,..
Alivyotoka kule ndo akaelekea efm kbla kurudi tena clouds
 
Ni times fm..
Jamaa walimchomoa wakawa wanampa 4.5m na hapo bado alikua ndo mtangazaji anaelipwa zaidi,,
Clouds wakamrudisha kwa kupanda dau tena.
Alitokea EFM tena kwenye kipindi cha ubaoni (alikipokea kutoka kwa Godwin Mawanja), mkataba wake ulivyoisha ndio akaondoka vizuri tu kwenda clouds.
Alifika efm akitokea times fm.
UNDERLINE THIS
 
Ana dakia dakia vitu halaf hana content yeyote ye ni mifano tu ..
Alex lwambano mimi namchkulia kama mchokonoa mada anaelijua hasa soka la bongo aliwahi kusema bongo kuna wachambuzi wachache sana na watoa maoni wengi..
Priva ni mmoja wa watoa maoni hana anachojua kuhusu soka..
Kabisa alaf Yule ameingia pale
Kwa mgongo wa dauda Tu
Maana Kwa anavoongea hata
Amrikiemba anamzid weled kisoka
Na kiuchambuz Kwa ufupi dogo inabd
Apunguze speed yake ya mifano
Isiyoisha

Binafs edga kibwana,Alex lwambano
Na farhan wanapokua kwenye kipindi
Hua wanaskilizika vzr sana
 
Kabisa alaf Yule ameingia pale
Kwa mgongo wa dauda Tu
Maana Kwa anavoongea hata
Amrikiemba anamzid weled kisoka
Na kiuchambuz Kwa ufupi dogo inabd
Apunguze speed yake ya mifano
Isiyoisha

Binafs edga kibwana,Alex lwambano
Na farhan wanapokua kwenye kipindi
Hua wanaskilizika vzr sana
Dah mkuu uko sawa kbsa tunagoganga sana katka mawazo kwenye hili,,
Yule dogo kaingia pale kwa mgongo wa shaffih hamna kitu kbsa..
Hiyo combination hapo uloitaja mara nyingi inakuaga j3,j5,ijumaa hizi siku sikosi kuskiliza sport extra ..
 
Kweli kbsa mkuu mtangazaji anaelipwa pesa nyingi bongo hii ni gadner g tu around 6m..
Mkataba ulomrudisha cloud kutoka times,
Wanaomfuatia hapo wako kilometer mia mbali,,..
Si kweli kuwa wengine wako mbali kwani Watangazaji kama Ibrahim Masoud'Maestro', Tunu Hassan Shemkome, Oscar Oscar na Jemedari Said Kazumari wanalipwa Tsh 4,500,000/ ila 'Maestro' kama Mkuu wa Dawati la Michezo EFM ndiyo analipwa Tsh 5,000,000/ na hata kabla Maulid Kitenge hajahamia Wasafi Media ndiyo walikuwa wakichuana Kimshahara.
 
Mtangazaji anaelipwa pesa nyingi ni gadner tu dili lake lakurudi clouds nafkiri n kwenye mili6..
Hakuna anaezidi hapo..
Tena gadner kawazidi wenzie mbali mnoo,
Hii hela clouds walimpa kumtoa times wamrudishie sbbu kipindi cha jahazi kilikua kinakufa.
Hiyo 6m ni gross au net
 
Si kweli kuwa wengine wako mbali kwani Watangazaji kama Ibrahim Masoud'Maestro', Tunu Hassan Shemkome, Oscar Oscar na Jemedari Said Kazumari wanalipwa Tsh 4,500,000/ ila 'Maestro' kama Mkuu wa Dawati la Michezo EFM ndiyo analipwa Tsh 5,000,000/ na hata kabla Maulid Kitenge hajahamia Wasafi Media ndiyo walikuwa wakichuana Kimshahara.
Hiyo mishahara ni gross au net
 
Back
Top Bottom