Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Nasali hiyo familia isiwe ya Kichaga tena ya KIMACHAME,maana watu wataibuka na "MADONGO" humu.
 
BREAKING NEWS:Mwanaume mmoja ambaye jina lake
halijafahamika huko maeneo ya Ilala Jijini Dar es Salaam
amempiga risasi na kumuua dada anayedaiwa kuwa ni
shemeji yake na kisha yeye mwenyewe kujiua huku watu
wengine wawili wakiachwa majeruhi.
 
Na hawa ni wachaga? Smile hebu nitafitie identification yao.
 
Last edited by a moderator:
Huu upuuzi wa kutoa uhai wa mtoto wa mwenzio na uchukia sana,jimalize mwenzio yatosha
 
Mbona taarifa ina makengeza. Wameuwawa watu wangapi? Why shemeji mtu ndo wamkill
 
Wivu jamani....ukitoka nje ya ndoa uvae bullet proof....dah.....
 
Nimepita, ngoja nikapate updates za Kapuya.

Yaelekea Ndolanga alikuwa anamjua vizuri Kapuya, hapa naona kama anakataa mkono wa Alhaji mwenzie...yeye alipona lakini mwenzie Rage alivaa gwanda Keko na Ubunge akaukosa kwani mpaka aliposamehewa Uchaguzi ulikuwa umeshapita, HIYO NDIO JEURI YA PESA ZA KAPUYA et al


images
 
mindo maana naogopa sana kavu.....kavu ni kitu kibaya sana ...kinavuruga sana akili za watu wa nchi hii
 
Spirit ya kiarabu hii " IF YOU HURT ME, I KILL YOU AND I KILL MYSELF"
 
hii imetokea saa moja na nusu hivi kutoka sasa ni maeneo ya ilala Boma, lilikuwa gari dogo ambalo lilismama ili kusubiri kufungiuliwa geti kisha ikaja pick up akashuka mkaka akamfyatua risasi ya ubongo dereva, wa hiyo gari ndogo kisha akamfyatua mwanamama alokuwa kushoto kisha akawa pasi abiria wawili walokuwa wamekaa kiti cha nyuma.

kisha ajifyatua yeyey mwenyewe toka kidevuni hadi utosini.

sikutaka kushuhudia zaid manake nisije nikajikuta napatapao ya shavu nikasepa mdogo mdogo.
 
hii imetokea saa moja na nusu hivi kutoka sasa ni maeneo ya ilala Boma, lilikuwa gari dogo ambalo lilismama ili kusubiri kufungiuliwa geti kisha ikaja pick up akashuka mkaka akamfyatua risasi ya ubongo dereva, wa hiyo gari ndogo kisha akamfyatua mwanamama alokuwa kushoto kisha akawa pasi abiria wawili walokuwa wamekaa kiti cha nyuma.

kisha ajifyatua yeyey mwenyewe toka kidevuni hadi utosini.

sikutaka kushuhudia zaid manake nisije nikajikuta napatapao ya shavu nikasepa mdogo mdogo.

Aisee........kuna watu wana roho za ajabu
 
hii imetokea saa moja na nusu hivi kutoka sasa ni maeneo ya ilala Boma, lilikuwa gari dogo ambalo lilismama ili kusubiri kufungiuliwa geti kisha ikaja pick up akashuka mkaka akamfyatua risasi ya ubongo dereva, wa hiyo gari ndogo kisha akamfyatua mwanamama alokuwa kushoto kisha akawa pasi abiria wawili walokuwa wamekaa kiti cha nyuma.

kisha ajifyatua yeyey mwenyewe toka kidevuni hadi utosini.

sikutaka kushuhudia zaid manake nisije nikajikuta napatapao ya shavu nikasepa mdogo mdogo.

allah akbaru....kama ile ya mushi na u4 saro..tofauti ile ilikuwa alfajiri alafu hii mchana peupe
 
mmmmmmmmmmh

usushangae mamito mie nilijua westgate imegeukia ilala boma ghafla, yaani nilijikuta natetemeka kushtukia kulia kwangu naona damu zinafuja nikasema mmmh! tanzania imekuwa uwanja wa gaza sasa
 
Back
Top Bottom