Mauaji ya visasi

Mauaji ya visasi

Kisa cha tisa
Mauaji ya Ilala! Chanzo dhuluma
Jamaa waliuziana gari, mnunuzi akalipa pesa ya kianzio lakini akashindwa kumaliza
Mwenye gari kila akikumbushia pesa yake jamaa anampiga kalenda
Siku ya siku mdaiwa akamuita mdai wake afike nyumbani kwake Ilala ampatie pesa yake

Jamaa akafika home kwa anayemdai, akakaribishwa vema lakini kufika ndani kumbe mwenzake alikuwa na lake moyoni! Akamuua na kumzika karibu na mashimo ya vyoo kisha akasakafia vema kabisa
Mauaji yalikuja kujulikana miaka takriban mitatu baadae
Hii naikumbuka
 

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
nimekusoma ambiere
 
Imagine unamwachia wife hela ili wanao wapate lishe safi. Lakini kila siku wanafakamia wali maharage.... Kumbe hela anampelekea mdogo wake Mshana Jr ili amchakate papuchi vizuri....

Mauaji mengine sio dhambi kabisa
Huna nguvu za kiume sababu ya stress za kumuwaza mwenda zake lazima mdogo wake mshana akuchapie tu
 
Shukrani mkuu! Itabidi sasa ukafanye editing kule juu!
Nimeangalia sijakosea


Dhambi ya tatu ni mauaji, ambayo asili yake ni choyo na wivu, pale Kaini alipofanya uchoyo wa kutoa sadaka iliyonona na matokeo yake ikakataliwa.. Ya mdogo wake Abel ilipokelewa na ndipo roho ya chuki ilipomuingia Kaini na kuamua kumuua mdogo wake kwa mama. Adam hakuwa babayake wa damu.
 
Nimeangalia sijakosea


Dhambi ya tatu ni mauaji, ambayo asili yake ni choyo na wivu, pale Kaini alipofanya uchoyo wa kutoa sadaka iliyonona na matokeo yake ikakataliwa.. Ya mdogo wake Abel ilipokelewa na ndipo roho ya chuki ilipomuingia Kaini na kuamua kumuua mdogo wake kwa mama. Adam hakuwa babayake wa damu.
Basi nilisoma vibaya!
 
HV mkuu mtu akiuwa au kuona mauaji je unaweza kukaha muda wote had kufa pasipo kujulikana Kama ulihusika na Jambo fln au itafika muda mtu kufa kabla ya matendo yake kuwa adharani ?

Inonesha kuwa kila tukio la mauwaji halipiti. Hvhv tu bill kujulikana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV mkuu mtu akiuwa au kuona mauaji je unaweza kukaha muda wote had kufa pasipo kujulikana Kama ulihusika na Jambo fln au itafika muda mtu kufa kabla ya matendo yake kuwa adharani ?

Inonesha kuwa kila tukio la mauwaji halipiti. Hvhv tu bill kujulikana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni ngumu mno kuficha kifo maana damu ya mtu ina uhai na ina harufu mbaya
 
FB_IMG_1664377221252.jpg
 
Msamehe tu ukiweza
Hapana, hapa nilipo nina mshughulikia kiroho kwanza, maana alitumia hela, alitumia maneno na akatumia uchawi.. Hatokaa akaishi kwa amani hatofurahia maisha yake kwa siku alizobakiza hapa duniani.. Kuna watu wana roho mbaya sana, Yesu alimkataza Petro kutumia upanga kwa majira yale ila kuna mda wa kutumia upanga, neno linasema ukipigwa huku geuzia huku, lazima umuoneshe adui upande wako wa pili
 
Hapana, hapa nilipo nina mshughulikia kiroho kwanza, maana alitumia hela, alitumia maneno na akatumia uchawi.. Hatokaa akaishi kwa amani hatofurahia maisha yake kwa siku alizobakiza hapa duniani.. Kuna watu wana roho mbaya sana, Yesu alimkataza Petro kutumia upanga kwa majira yale ila kuna mda wa kutumia upanga, neno linasema ukipigwa huku geuzia huku, lazima umuoneshe adui upande wako wa pili
Sina neno zaidi...
 
Back
Top Bottom