Mauaji ya visasi

Mauaji ya visasi

Kuna baadhi ya mambo unafanyiwa, huoni option ya ku-move on bali kulipiza kisasi ndio inakuwa chaguo sahihi.
Imagine unamwachia wife hela ili wanao wapate lishe safi. Lakini kila siku wanafakamia wali maharage.... Kumbe hela anampelekea mdogo wake Mshana Jr ili amchakate papuchi vizuri....

Mauaji mengine sio dhambi kabisa
 
Kisa cha nne
Mauaji siku ya kipaimara Tegeta
Familia ikiwa imeenda kanisani na ndugu wengine kwenye kipaimara cha first born baba alibaki nyumbani kwa maandalizi ya sherehe
Kwenye saa tano hivi walikuja watu wawili wakagonga geti na kufunguliwa na msichana wa kazi.. Bila kujua nia yao ovu walimuuliza kama baba yupo naye akawajibu yupo na kuwaongoza mpaka sebuleni
Jamaa hawakuwa na maneno mengi walimmiminia risasi za kutosha na kutokomea kusikojulikana..
Sherehe za kipaimara zikageuka msiba wa baba wa familia
Ambiere
umeruka kisa cha tatu
 
Mauaji ya visasi (kulipa kisasi) ni dhambi ya tatu kuzaliwa duniani
Dhambi ya kwanza ngono na usaliti pale Eden, lakini hii ina mazonge mengi kwakuwa uongo na kutotii maagizo vyote vinaingia hapo! Ni dhambi yenye vipengele A, B C na D

Dhambi ya tatu ni mauaji, ambayo asili yake ni choyo na wivu, pale Kaini alipofanya uchoyo wa kutoa sadaka iliyonona na matokeo yake ikakataliwa.. Ya mdogo wake Abel ilipokelewa na ndipo roho ya chuki ilipomuingia Kaini na kuamua kumuua mdogo wake kwa mama. Adam hakuwa babayake wa damu.

Tangu hapo mkeka wa mauaji ya visasi uliasisiwa ulimwenguni.. Tangia hapo maelfu kwa maelfu wameuawa kwa mauaji ya visasi. Nimekisoma kisa cha kijana wa Songwe aliyeuwawa mbele ya mkewe na mwanae na wauaji wakaondoka bila kuchukua chochote! Visa hivi ni vingi mno na nitasimulia baadhi kadiri ya kumbukumbu zangu, nakukaribisha nawe uungane nami kama kuna chako unakikumbuka!

Maisha haya hutukutanisha na wengi lakini pia na mengi, kuna watu kwa sababu zozote zile wanajiona ya kwamba wao ndio wao na wengine si kitu.

Wao ndio wanastahili kupata
Wao ndio wanastahili maisha mazuri
Wao ndio wanaijua pesa kuliko wengine
Wao ndio wanastahili maisha na vitu vizuri kuliko wengine

Visa hivi vya mauaji ya visasi vina asili moja! Wauaji hawachukui chochote! Visa hivi vyanzo vyake ni
Usaliti wa kibiashara/dili
Usaliti kwenye mapenzi/mahusiano
Harakati za kisiasa na madaraka
Wivu wa maendeleo/kupata kwa wengine
Dhuluma
Utemi
Ubabe nk nk
Kwenye hili kuna wauaji wa kukodi ama baadhi hutekeleza mauaji wenyewe tena kwa taarifa kabla ya kutekeleza mauaji.

Sometimes kwenye haya mambo ukishindwa kusamehe lipa kisasi! Haikuongezei kitu lakini inakupunguzia maumivu! Ila usiijaribu hii njia imejaa mabaya!

Mnamkumbuka yule traffic aliyeuliwa kwa risasi pale sayansi ? Jamaa alikuja na boda akamuuliza Afande unanikumbuka? Jamaa akajibu ndio.

Jibu hilo lilitosha kummininia risasi zilizoondoka na uhai wake
Nitakuja na visa vingine.
kaka ambiere, unashaurije kuhusu kulipa kisasi?je tumuachie MUNGU kama bible inavyosema kwetu wakristo?au tumalizaane na wabaya wetu tu wenyewe!maaana unafanyiwa mambo yenye kuumiza sana mpaka unakua na uchungu mwingi kiasi kwamba unatamani kulipiza ili uchungu uondoke!ila dini ndo zinatuzuia tuu!yaani aiseee
 
Kuchapiwa ni siri ya ndani na ilianzia pale Eden.. Wewe unadhani baada ya Eva kuongopewa na ibilisi(nyoka) na kula 'tunda' la mti wa kati alitoka salama? Adam alikula makombo tuuu...
Kaini ni uzao wa ibilisi na ndio maana hakuona umuhimu wa kutoa sadaka nzuri..
Mkuu; Tunda lilozungumzwa kwenye Bilblia sio "Tunda" tunaloshabikia kuliwa kimasihara.
Ingekuwa ni hilo, Mbona ilishatolewa ruhusa tangu awali kwa maneno: Nendeni mkazae (Adam; Me na Eva/Hawa;Ke )na kuitiisha/mkaijaze nchi(.Mw.1:28) Je, wangezaanaje kama sio kwa kujamiiana?
Tunda hapo ni Kukosa Utii i.e. Unaambia au unaAmriwa usifanye hiki we unapuuzia na unafanya(Umeasi maagizo) kwa hiyo wewe sio Mtiifu.
 
Kuchapiwa ni siri ya ndani na ilianzia pale Eden.. Wewe unadhani baada ya Eva kuongopewa na ibilisi(nyoka) na kula 'tunda' la mti wa kati alitoka salama? Adam alikula makombo tuuu...
Kaini ni uzao wa ibilisi na ndio maana hakuona umuhimu wa kutoa sadaka nzuri..
Mtani, Hapa naona mnalishana matango pori aithee.
 
Back
Top Bottom