Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

Nasali sana na mtoto wako wa kumzaa ajiue! Kama alivyojiua Mwangosi. Na amini nakuambia Mungu si Mnafiki atajiuwa.

Na kila Ukila Nyama ukumbuke ule mwili mliousambaratisha.

mcxxxxxm.

Nadhani umesahau kuwa sisi tunakipenda kifo kama nyinyi mnavyoyapenda maisha. Hapo sasa!
 
No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni

attachment.php


 
No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni

attachment.php



Inawezekana siyo huyu;

1. Hiyo miwani ya goggles, yule mlipuaji hakuwa nayo
2. Huyu ni mdogo zaidi ya yule wa pichani
3. Mikono ya huyu dogo ni tofauti na ile ya yule aliyefyatuwa bomu
 
Inawezekana siyo huyu;

1. Hiyo miwani ya goggles, yule mlipuaji hakuwa nayo
2. Huyu ni mdogo zaidi ya yule wa pichani
3. Mikono ya huyu dogo ni tofauti na ile ya yule aliyefyatuwa bomu

Lakini alikuwa mojawapo wa wale watano (tumweke kando yule askari aliyeumia)- hizo damu ndio ushahidi, anapaswa kushitakiwa pia. Lakini mbona naona kama ni yeye -damu ilimrudi huyu, marehemu alilala chali akalipuliwa- huyu alikuwa amemwinamia - ni huyu!
 
Inawezekana siyo huyu;

1. Hiyo miwani ya goggles, yule mlipuaji hakuwa nayo
2. Huyu ni mdogo zaidi ya yule wa pichani
3. Mikono ya huyu dogo ni tofauti na ile ya yule aliyefyatuwa bomu

No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni

attachment.php


Ila huyu ni mmoja wapo wa waliomuua marehemu

Angalia hapo kwenye kifua chake hapana hata tone la damu. Maana yake wakati mlipuko unatokea alikuwa amemwinamia marehemu kwakumtazama

Angalia macho anaonekana alipata athari ya moshi.
 
Mkuu kunaa kitu nilikuwa sijakigunduwa, kumbe huyu jamaa hapo kiunoni ana bastora? swali wakati Mwangosi amedhitiwa na maaskari wote wenye silaha je yeye bastora yake alikuwa ameitowa juu ili kufanayaje? je kunabastora za kutowa machozi?

Haya ni mauwaji ya kupangwa na nawaonya Chadema kuwa macho kwenye mikutano yao, nilidhani Mnyika anaongea propaganda kwamba kwenye mikutano yao kuna watu wabaya huwa wanakuja na silaha na wengine wanavaa kombati za Chadema ili kuleta image mbaya kwa chama.

Hili tukio haliitaji tume wala kamati, huyo askari kanzu alikuwepo hapo kwa ajili ya mauwaji tu,sasa ndio nimeelewa ni kwa Frasis Godwin ametoweka Iringa. hii ni zaidi ya hatari.
Swali la msingi kabisa hilo,bastola ilkuwa ya kazi nje nje?maana sidhani kama aliitoa ili kupambana na wenzake.Aulizwe bastola ilikuwa ya nini?maana maisha yao hayakuwa hatarini hata chembe!hakuna hata jiwe lilorushwa na wananchi!wauwaji wakubwa hawa!justice should prevail!
 
attachment.php


Huyu mwenye bukta siye yule askari kanzu! Huyu anawaza kutambuliwa, asante kwa picha
 
Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP).
attachment.php


Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
Huyo jamaa mwenye nguo za kiraia ni wale wazee wa kazi vijana wa RO wa TISS kama sio basi na yeye ni ndata pia maana ndio aliyeishika hiyo bastola aliyoielekezea juu!.

Ndata awe shahidi muhimu wa kesi ya mandata?!.

Pasco.
 
serikali inashutumiwa sana.Walianza kwa ulimboka sasa Mwangosi kinachofuata ni serikali kujiua yenyewe.
 
Huyo jamaa mwenye nguo za kiraia ni wale wazee wa kazi vijana wa RO wa TISS kama sio basi na yeye ni ndata pia maana ndio aliyeishika hiyo bastola aliyoielekezea juu!.

Ndata awe shahidi muhimu wa kesi ya mandata?!.

Pasco.
Huyo kama hakutumwa kuuwa,kazi yake ilikuwa kitu gani?maana alikuwepo kwenye kona kona kama jambazi.Kwasababu najiuliza ina maana hao askari hawakutosha?ama walikuwa na different missions?

Sidhani kama alikuwa anapokea order sawa sawa na hao waliko kwenye uniform.Hao ni wale wazee wenyewe wa Mwabwepande.Order zao wanatoa "juu"!

Wangekuwa na mission moja,yani kutawanya wananchi,basi askari na mabomu yao walitosha kabisa.Huyu alikuwa na mission nyingine kabisa,ni picha zimemwumbua,sidhani kama walitegemea hilo.
 
Inawezekana siyo huyu;

1. Hiyo miwani ya goggles, yule mlipuaji hakuwa nayo
2. Huyu ni mdogo zaidi ya yule wa pichani
3. Mikono ya huyu dogo ni tofauti na ile ya yule aliyefyatuwa bomu
Hii picha ni ya karibu sana lazima ataonekana mkubwa zaidi..Ushahidi wa damu usoni unamwacha uchi hakuna mtu mwingine aliyeuawa na hakunna askari mwingine yeyote mwenye kofia ya kijani na kioo aliyeweka uso wake karibu na mlipuko isipokuwa muuaji.. I bet this is the guy....
 
Hii picha ni ya karibu sana lazima ataonekana mkubwa zaidi..Ushahidi wa damu usoni unamwacha uchi hakuna mtu mwingine aliyeuawa na hakunna askari mwingine yeyote mwenye kofia ya kijani na kioo aliyeweka uso wake karibu na mlipuko isipokuwa muuaji.. I bet this is the guy....

Mkuu Mkandara hata mimi naona huyu ndo muuaji hasa kwa angle ya blood splatter

Ila nataka kutofautiana na wewe kimoja. Huyu siye yule unayemsema wewe kwenye ile picha nyingine. Their physique/build is so different

Hiyo nawasilisha hoja kwamba tukio la kumlipua lilikuja baada ya lile la kwanza.

Mimi sihifadhi hizi picha they're too uncomfortable to view ila ushauri wangu ni kwamba tazama mwili wa marehemu na jengo halafu linganisha na jengo kwenye ile picha inayoonesha askari kanzu na wengine wakimshambulia marehemu. Nahisi mazingira/spot imetofautiana

Halafu huyu mwenye madamu pale kwenye kundi hakuwepo.
 
Mkuu Mkandara hata mimi naona huyu ndo muuaji hasa kwa angle ya blood splatter

Ila nataka kutofautiana na wewe kimoja. Huyu siye yule unayemsema wewe kwenye ile picha nyingine. Their physique/build is so different

Hiyo nawasilisha hoja kwamba tukio la kumlipua lilikuja baada ya lile la kwanza.

Mimi sihifadhi hizi picha they're too uncomfortable to view ila ushauri wangu ni kwamba tazama mwili wa marehemu na jengo halafu linganisha na jengo kwenye ile picha inayoonesha askari kanzu na wengine wakimshambulia marehemu. Nahisi mazingira/spot imetofautiana

Halafu huyu mwenye madamu pale kwenye kundi hakuwepo.
Hapana sijasema hivo,yule askari kanzu alivaa shati la blue siye huyu isipokuwa alikuwepo na inaonekana alikuwa kazini kwa mavazi ya siri kama yale na hata tunamuona akiinua bastola yake juu wakati wa mauaji kutawanya watu bila shaka. Sasa mtu kama huyu, wananchi wangeweza vipi kumtambua kama ni askari wakati viongozi wa Askari wetu wanadai marehemu alikuwa hakuvaa kitambulisho. Sasa sielewi kama ilikuwa imetangazwa vita tayari maana waandishi hulazimika tu kuvaa vitambulisho pale raia wa kawaida hawaruhusiwi kuwepo.

Ila ukimtazama yule kijana aliyeshika bunduki ya kurusha mabomu ya machozi pale mbele ya marehemu na nyuma ya mkuu wa Polisi utagundua ndiye huyu huyu tunayeonyeshwa sasa hivi.. Picha zinaweza chukuliwa toka upande tofauti hivyo majengo na mazingira yasionekane sawa isipokuwa picha zote hizi zimepigwa sehemu moja - sehemu ya tukio..
 
Tunataka zile picha zilizopigwa wakti wa kitendo cha kumlipua marehemu Mwangosi ili ziwe ushahidi wa kuwa-pin polisi wa IGP Mwema.
ukiangalia picha ambayo mwangosi (R.I.P) ameelekezewa mtutu utona moshi kiasi fulani ikionesha kuwa huyo ndiye aliyemlipua..

full stop!!
 

Waswahili usema ukimuona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi,babu anajipenda umri ule mfupa ukivunjika haungiki hata kwa super glue.

mkuu nilikuwa nakuheshimu kumbe na wewe ni mla makombo?
 
Hapana sijasema hivo,yule askari kanzu alivaa shati la blue siye huyu isipokuwa alikuwepo na inaonekana alikuwa kazini kwa mavazi ya siri kama yale na hata tunamuona akiinua bstola yake juu kwakait wa mauaji. Sasa mtu kama huyu, wananchi wangeweza vipi kumtambua kama ni askari wakati viongozi wa Askari wetu wanadai marehemu alikuwa hakuvaa kitambulisho. Sasa sielewi kama ilikuwa imetangazwa vita tayari maana waandishi hulazimika tu kuvaa vitambulisho pale raia wa kawaida hawaruhusiwi kuwepo..

Nasema hivi, ile picha iliyoenea siku zote haina muuaji

Muuaji ndio huyu mwenye damu kwa evidence ya ANGLE of blood splatter

The fact that the murderer is not seen in the previous picture means the actual murdering came after that incident which was caught on camera a gun pointing at the stomach of the deceased
 
Hapana sijasema hivo,yule askari kanzu alivaa shati la blue siye huyu isipokuwa alikuwepo na inaonekana alikuwa kazini kwa mavazi ya siri kama yale na hata tunamuona akiinua bastola yake juu wakati wa mauaji kutawanya watu bila shaka. Sasa mtu kama huyu, wananchi wangeweza vipi kumtambua kama ni askari wakati viongozi wa Askari wetu wanadai marehemu alikuwa hakuvaa kitambulisho. Sasa sielewi kama ilikuwa imetangazwa vita tayari maana waandishi hulazimika tu kuvaa vitambulisho pale raia wa kawaida hawaruhusiwi kuwepo.

Ila ukimtazama yule kijana aliyeshika bunduki ya kurusha mabomu ya machozi pale mbele ya marehemu na nyuma ya mkuu wa Polisi utagundua ndiye huyu huyu tunayeonyeshwa sasa hivi.. Picha zinaweza chukuliwa toka upande tofauti hivyo majengo na mazingira yasionekane sawa isipokuwa picha zote hizi zimepigwa sehemu moja - sehemu ya tukio..
aliinuwa bastola juu kutawanya polisi mkuu na si watu.Hakukuwa na watu zaidi ya marehemu pale.Labda useme alikuwa akiwatisha polisi wenzake wasiendelee kumpiga marehemu.Kungekuwa na clip yenye sauti ingesaidia.
 
mkuu nilikuwa nakuheshimu kumbe na wewe ni mla makombo?
Ulimona kwenye michango gani ukadhani ana akili?kama una link nipatie maana ni maajabu kwangu,ama ni kule chit chat?huyo huwa nikiona avatar yake wala sijisumbui kusoma alichobandika.
 
Nasema hivi, ile picha iliyoenea siku zote haina muuaji

Muuaji ndio huyu mwenye damu kwa evidence ya ANGLE of blood splatter

The fact that the murderer is not seen in the previous picture means the actual murdering came after that incident which was caught on camera a gun pointing at the stomach of the deceased
mkuu wewe uko off target kabisa.Ile picha aliyoelekezewa mtutu tumboni,ilipigwa kabla ya mlipuko ama wakati bomu linakuwa discharged.Ile picha ndo muuwaji yule mkuu.
 
attachment.php


Huyu mwenye bukta siye yule askari kanzu! Huyu anawaza kutambuliwa, asante kwa picha

taarifa tulizo nazo Marehemu alipigwa risasi kabla ya kulipuliwa na bomu,kwa vyovyote vile huyu aliyevaa nguo za kiraia ndiye aliyempiga risasi,lile bome ilikuwa ni kuondoa ushahidi wa risasi,ile picha pale juu wakati wamemzingiza Marehemu jamaa alichomoa bastola na haikurudi ndiyo hasa ilimmaliza Mwangosi
 
Back
Top Bottom