Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,745
Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)

attachment.php


attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php


Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)

attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...

Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
 

Attachments

  • 19.JPG
    19.JPG
    63 KB · Views: 10,685
  • 23.JPG
    23.JPG
    45.1 KB · Views: 10,509
  • 24.JPG
    24.JPG
    43.7 KB · Views: 10,441
  • 26.JPG
    26.JPG
    51.9 KB · Views: 10,456
  • 28.JPG
    28.JPG
    56.1 KB · Views: 10,356
  • 29.JPG
    29.JPG
    44 KB · Views: 8,604
  • 35.JPG
    35.JPG
    38.4 KB · Views: 8,086
  • NO.9 DSCF2385.JPG
    NO.9 DSCF2385.JPG
    74.8 KB · Views: 9,411
  • NO4 DSCF2380.JPG
    NO4 DSCF2380.JPG
    67.3 KB · Views: 7,962
Mkuu nasubiri picha zaidi kwani hizo ulizozipost hazitoshi kuziita "Ushahidi"
 
Tunataka zile picha zilizopigwa wakti wa kitendo cha kumlipua marehemu Mwangosi ili ziwe ushahidi wa kuwa-pin polisi wa IGP Mwema.
 
naombeni kuuliza....kwa anayefahamu,na aliyekuwa kwenye tukio,je camera ya Mwangosi ipo wapi?inaweza ikawa ushahidi tosha kama ilikuwa ON,au labda inaweza ikawa na maongezi yaliyokuwa yakifanyika na wana usalama walioutoa uhai wake......nawakilisha.
 
Kabla ya wauaji kufika inaonekana wananchi walikua wamejikalia kwa amani wakizindua tawi lao.
 
mbona picha zenyewe kama za harusi? kama hizi ndizo ulizonazo usijisumbuwe ku upload hamna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom