Arusha wamefundishwa UJASIRI na Lema, matokeo yake ndio haya
Picha hizi haziruhusiwi ni too graphic, zinaumiza!, next time kabla hujapost jiulize suppose mhusika ni ndugu au jamaa yako, ungepost?!.
Pasco.
Kama alifumaniwa akifanya mapenzi aliwezaje kuvaa hizo nguo huku akiwa anapigwa?Mkuu huyo hawezi kufungwa mana amefumania hapo hapo na kaua papo hapo. Ngoja wataalamu wa sheria waje watufafanulie zaidi ila ameua bila kukusudia. Inauma sana kuliwa mke tena mtu mzima analiwa na dogo kwenye mkoko uliomnunulia wewe. Hawa watu wamama watu wazima ni watamu lakini bora uvizie wajane au walioachika utakuwa huru kula papuchi zao mpaka useme sitaki tena watu wazima. Mke wa mtu ni noma
Arusha wamefundishwa UJASIRI na Lema, matokeo yake ndio haya
Arusha wamefundishwa UJASIRI na Lema, matokeo yake ndio haya
Ile nyimbo ya mke was mtu no sumu ameimba Nani vile wakuu?
Mkuu kwanza picha ulizoweka hujawatendea haki ndugu zake ungeziacha tu. Tatizo hapa labda mke naye alikuwa haridhiki kwa mume wake.