Mauaji ya fumanizi Arusha

Mauaji ya fumanizi Arusha

Khaa!! Baada ya hapo wakati anany*a debe kwa miaka 2 au 3 akisubiri kesi isikilizwe mkewe atakuwa anagawa sukari kwa hasira kali. Akili ni mali.
 
Huyo mwanamke ndo alistahili kuadhibiwa,kwakuwa ametoa ruhusa mali za mzee wake ziingiliwe kinyume na taratibu za ndoa,huyo kijana anaweza kuwa alishawishiwa na mwanamke huyo fedhuli
 
Kama angemuua mkewe angalau ningesema ana akili kiasi. Sasa mke wake, Gari yake, kamuua kijana masikini ambaye labda alikuwa kazini (analipwa na mkewe)
 
Sasa umepata faida gani arusha kweli hamnazo sasa hamchelewi kusema bilionea aua
 
Majuto ni mjukuu, kesi za mauaji zinachapwa kwa type writer baada ya kuchukua maelezo kwa kalamu uamishiwa kwa mchapaji hayo maandishi uchukua miaka kufutika, hakuna cha kibatala wala tundu lisu wa kumchomoa hapo.ni ujinga kwenda jela kwa ajili ya mwanamke.

Mkuu...usicheze na Fani ya Sheria wapi ZOMBE na kampani yake
 
Hii stori ya kutunga toka jana hamna ushahidi kua mtu kauwawa istoshe arusha ni padogo tukio likitokea wa2 wanajua kila ki2 ila hili hamna mtu anajua,wa2 kibao wanakaa kwaidd ila hawajui mhusika au marehemu
 
Hongera kwa kuzunguka arusha nzima kutafuta ushahidi wa jambo lisilokuhusu
 
Hii stori ya kutunga toka jana hamna ushahidi kua mtu kauwawa istoshe arusha ni padogo tukio likitokea wa2 wanajua kila ki2 ila hili hamna mtu anajua,wa2 kibao wanakaa kwaidd ila hawajui mhusika au marehemu

Hongera kwa kuzunguka arusha nzima kutafuta ushahidi wa jambo lisilokuhusu
 
Mkuu...usicheze na Fani ya Sheria wapi ZOMBE na kampani yake

Zombe alikua mkuu wa police mazambi meengi anayajua serikali ifanya kumwachia,si alikata rufaa kutaka kulipwa aliambiwaje? Chenge aliua barabarani wanawake alikuanao club then baadae unasikia kagonga na kuua wawili,bima feki alilipa faini laki saba kwa watu wawili.hapo kuna sheria au mahamaka zinachezewa na baadhi ya watu.
 
Duuh "graphic" jamaa kaitafsiri kutoka kwenye dictionary kabisa, hizi english za kukariri na shule zetu za kata ni majanga.
 
Hii kitu hii kitu hi kitu hii, hii kitu hii........
 
Kumpa mgoni adhabu ya kifo sio kumkomoa, kuna adhabu zake ambazo angejutia maisha yake yote. Haya na sheria ichukue mkondo wake.
Kuna mwingine jana alifumaniwa hukohuko arusha,na alifanywa kama unavyo suggest. samahani kwa picha lakini
 

Attachments

  • IMG-20150426-WA0005.jpg
    IMG-20150426-WA0005.jpg
    50.3 KB · Views: 680
  • IMG-20150426-WA0004.jpg
    IMG-20150426-WA0004.jpg
    35 KB · Views: 666
Unaleta stori z kutunga lete ushahidi wa jina la mtuhumiwa c unaleta porojo 2

Kwa hy ww unaushaidi kuwa hii story ni ya kutunga...nitunge ili iweje kwanza,kwa faida gani?..unafkili mimi sina kazi ya kufanyA kama ww unaezunguka arusha nzima ns kumaliza vocha kufatilia umbeya..mtoto wa kiume ww utafirrrrw
 
Ujinga huo ameua kisa fumanizi,akipelekwa kisongo akarushe ndege,mke atabaki uraiani wajanja wataendelea kumfaidi.
 
Kwa hy ww unaushaidi kuwa hii story ni ya kutunga...nitunge ili iweje kwanza,kwa faida gani?..unafkili mimi sina kazi ya kufanyA kama ww unaezunguka arusha nzima ns kumaliza vocha kufatilia umbeya..mtoto wa kiume ww utafirrrrw

Acha kumbwelambwela leta proof unakuja na stori za kusikia hapa
 
Back
Top Bottom