Arusha wana roho ya kuua sana, kila fumanizi ni kuua sasa faida yake nini? mume atasekwa selo na mama ataendeleza ufuska
Hakuna ushahidi walikuwa wanafanya mapenzi ndani ya gari. Hebu angalieni jamaa alivyofunga vizuri mkanda wa kaptura
Chadema na Lema ndio tatizo Arusha
Lazima ujiulize Mapenzi kwenye gari watu huvua nguo zote?? Pili alilengwa na sniper akiwa kwenye tendo kwani?? Mtu kuvaa haimaanishi nakuwa kwenye tendo
Mkuu kama hujui maana ya neno "graphic" naomba urudi kwny kamusi. Najua ulichokuwa unataka kumaanisha
Kama taarifa za kweli, wamesema mume alitega mtego. So alikuwa na intention ya kuua. Amepata muda wa kufikiria. Si kwamba kawafumania bila kutegemea. Alitegemea kuwaona, na alipanga kuua. Hapo hatopata huruma.
Hatapatikana MTU Wa kutoa ushahidi kwamba ulikuwa mtego! Unacheza na akina Kibatala, Marando, Tundu and the like nini?! Hapo sheria itazungushwa mpaka jamaa litaonekana liliua bila kukusudia! Sawa ndani litakaa muda lakini litatoka!
Arusha wamefundishwa UJASIRI na Lema, matokeo yake ndio haya
Ya, ukifika jiheshimu na uheshimu wengine, maisha tambarare kabisha.Arusha...
Kwa hiyo picha za watu akiwa wamekufa kwenye ajali huku wengine wamekatika mikono ndo zinaruhusiwa,vp kams hii stori isingekuwa na picha ungedai ushaidi wa aina gani?Picha hizi haziruhusiwi ni too graphic, zinaumiza!, next time kabla hujapost jiulize suppose mhusika ni ndugu au jamaa yako, ungepost?!.
Pasco.
Mkuu huyo hawezi kufungwa mana amefumania hapo hapo na kaua papo hapo. Ngoja wataalamu wa sheria waje watufafanulie zaidi ila ameua bila kukusudia. Inauma sana kuliwa mke tena mtu mzima analiwa na dogo kwenye mkoko uliomnunulia wewe. Hawa watu wamama watu wazima ni watamu lakini bora uvizie wajane au walioachika utakuwa huru kula papuchi zao mpaka useme sitaki tena watu wazima. Mke wa mtu ni noma