Haya sasa, umeua watu wawili. Na wewe unaenda kunyongwa. Sielewi faida iko wapi kwa kweli.
Arusha wamefundishwa UJASIRI na Lema, matokeo yake ndio haya
Bora Sheria za Mitandao ziwekwe maana kwa wanaotoa habari za UONGO tena na picha sijui ni adhabu gani inastahiliAcha kumbwelambwela leta proof unakuja na stori za kusikia hapa
Bora Sheria za Mitandao ziwekwe maana kwa wanaotoa habari za UONGO tena na picha sijui ni adhabu gani inastahili
Arusha ilikuwepo kabla ya Lema sio Lema kabla ya Arusha!
Hatapatikana MTU Wa kutoa ushahidi kwamba ulikuwa mtego! Unacheza na akina Kibatala, Marando, Tundu and the like nini?! Hapo sheria itazungushwa mpaka jamaa litaonekana liliua bila kukusudia! Sawa ndani litakaa muda lakini litatoka!
Hii message imesambaa kwenye whatsapp tangu juzi, huyu jamaa naye ameikopi kama ilivyo akawaletea great thinkers hapa. Eti samahani kwa picha.Kijana mmoja kwa jina ADAM MANONDO mkazi wa Sakina auwawa kikatili huko Arusha jana jioni baada ya kufumaniwa akimla mke wa mtu kwenye gari.
Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.
Walikuwa wamepaki kwenye chocho moja huko maeneo ya kwa Iddi, Sakina na inasemekana walikuwa wamewekewa mtego na mwenye mke. (Samahani kwa picha)
Bora Sheria za Mitandao ziwekwe maana kwa wanaotoa habari za UONGO tena na picha sijui ni adhabu gani inastahili
Kijana mmoja kwa jina ADAM MANONDO mkazi wa Sakina auwawa kikatili huko Arusha jana jioni baada ya kufumaniwa akimla mke wa mtu kwenye gari.
Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.
Walikuwa wamepaki kwenye chocho moja huko maeneo ya kwa Iddi, Sakina na inasemekana walikuwa wamewekewa mtego na mwenye mke. (Samahani kwa picha)
Mapenzi hayashikiliwi kwa plasta. Hivi sasa, umeshaua mtu kwa ajili ya mimi kukucheat. Baada ya hapo na mikiki ya kesi, hivi naendelea kukupenda na kuhangaika na kesi yako? Au tuseme haujajulikana na sheria, ndo tutalala pamoja na maisha yaendelee?
Ujinga mtupu. No one is worth to be loved to the extent of even lifting a finger for. No one is worth going to jail for. There is billions of other people worth your love and attention!
Hii message imesambaa kwenye whatsapp tangu juzi, huyu jamaa naye ameikopi kama ilivyo akawaletea great thinkers hapa. Eti samahani kwa picha.
Wee mama tulia, mbona maiti za garissa zilipowekwa hapa hukusema toa,badala yake ukawa unashabikia
Kwani wale wa garisa walikufa kwa ngono?
Mimacho mikubwa ka chura kabanwa mlango.
Ovyoooo.
Kwa hy picha za watu waliokufa kwa kufumaniwa na wake za watu ndo hazitakiwi kuwepo mtandaoni?!!!....ila maiti za wale walikufa bila hatia ndo zinatakiwa zianikwe hadharani.....bangi....
Kijana Kuropoka hakubadili ukweli.
Picha za matukio km hilo la Garisa ni lzm Ulimwengu Uone yale yaliotokea kwa sababu moja au nyingine za kisheria au ki usalama.
Picha za mtu aliyeuawa kwa kufumaniwa NANI ANATAKA KUONA?
We kumbe macho makubwaa lkn ubongo km Kokwa la zambarawe.
Wewe hata kama umesoma uwezo wako wa kufikiri upo chini,kwa hy mtu aliyekufa kwa kufumaniwa sio ishu ya kisheria na kiusalama,na ulifungua vipi hii thread au ww hauishi ulimwenguni?