Matured Christian Man for Marriage

Matured Christian Man for Marriage

Status
Not open for further replies.
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Wanawake sijui mnaotaga ndoto gani. Yaani una miaka 30 halafu unaweka vigezo utadhani una early twenties. Haya ukimpata na akakuchumbia njoo inbox nitakuchangia milioni mbili kwenye harusi. Kiufupi ukipata mwanaume kwa huo umri wako mwenye vigezo ulivyotaja nipo pale niite 🐕 koko
 
Ana Uzi wake wa 2024 ..
Karudi tena 2025. ..
Si unajua wanajukwaa sisi tunafukua makaburi tu ..tunakuambia tu rejelea uzi wako huu...halafu tunakaa pembeni
Namtakia Kila la heri.ila Kwa mwanaume mpenda amani,hapa lazima awe na hofu
Ndoa ni kifungo na sio biashara ya ubia sijui unaingia ukiamua unajitoa kirahisi tu
 
Huyu akijichanganya vijana chapeni piten hvi

No mercy
Atampata wale wanaosimamia ukucha Hadi Kona ya kitanda unakabiwa hapo ni kiuno tu kinazunguka kinaenda mbele na nyuma .. halafu anabwagwa kama gunia la mchele...kuoa mchezo kipindi hiki. ...?!
 
Dada kama hujaolewa bora nikupe wewe kuliko mtoa mada.
Unajielewa sana
Don't take it serious mkuu sio Uzi wangu huu....anyway muhusika ndo huyo umemuona?
Mi nachangamsha genge tu mwaya ila kiukweli huyu dada anakoseaa,nsiwe mnafki!
Majibu yake yanaweza kuwarudisha nyuma wenye Nia njema akaambulia wahuni huko pm
 
Khaaa... Ngoja tuone..

Maana yake wewe ndio unataka kuoa sasa...Inaelekea wewe ni mkorofi sana..
Pengine ni mwanamke mwenye UUME...tutajuaje...Dunia hii shekhe...mana si kwa mitusi inayomtoka
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
una chura?
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
All the best

30s ndo umri gani just be specific and clear either 35 or 32 n.k
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Kama upo serious kweli ondoa haya masharti mawili then nitakuja inbox
 
Wanawake sijui mnaotaga ndoto gani. Yaani una miaka 30 halafu unaweka vigezo utadhani una early twenties. Haya ukimpata na akakuchumbia njoo inbox nitakuchangia milioni mbili kwenye harusi. Kiufupi ukipata mwanaume kwa huo umri wako mwenye vigezo ulivyotaja nipo pale niite 🐕 koko
30s maana yake ni miaka kati ya 30-39.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom