Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,357
- 10,379
Mi sitaki wanaume wa Jf mkuuChukua chuma Hiko mkuu hata Mimi nimeona...
Mi sitaki wanaume wa Jf mkuuChukua chuma Hiko mkuu hata Mimi nimeona...
Yes mkuu.Serious mkuu,yuko poa sana.
Yani huwezi kumfananisha na mtoa mada kabisa.
Kuna mabinti wanajielewa sana
Vyema kabisa...humu sisi ni mafukara choka mbaya kabisa hatuna vision kabisa wahuni wahuni tu jobless na hatuko financially stable ...hatuko matured ...sio born again 😂😂😂😂Mi sitaki wanaume wa Jf mkuu
Kupata anaweza kupata msimkatishe tamaa30s maana yake ni miaka kati ya 30-39.
Don't take it serious mkuu sio Uzi wangu huu....anyway muhusika ndo huyo umemuona?
Mi nachangamsha genge tu mwaya ila kiukweli huyu dada anakoseaa,nsiwe mnafki!
Majibu yake yanaweza kuwarudisha nyuma wenye Nia njema akaambulia wahuni huko pm
Mkuu taratibu..ila kama unataka urafiki karibu..Unajua Uzi wa mtafuta mme unaweza kukutanisha tukawa good friends au zaidi,how old are you?au tuchat pm if hutojali
Kwanini hauwataki?Mi sitaki wanaume wa Jf mkuu
Upo sahihi Mimi mwenyewe huwa nachungulia Love connect kwakuwa najua katika comment naweza kupata mke wa pili kupitia commentUnajua Uzi wa mtafuta mme unaweza kukutanisha tukawa good friends au zaidi,how old are you?au tuchat pm if hutojali
Una miaka mingapiMi sitaki wanaume wa Jf mkuu
Sijamkatisha tamaa, hata mimi ni matarajio yangu atampata wa kuendana na yeye.Kupata anaweza kupata msimkatishe tamaa
Stop being negative..badala yake hoji kwanini?Vyema kabisa...humu sisi ni mafukara choka mbaya kabisa hatuna vision kabisa wahuni wahuni tu jobless na hatuko financially stable ...hatuko matured ...sio born again 😂😂😂😂
Ni mama wa makamo😊Una miaka mingapi
Tumtimie moyo najua atapata mkuuSijamkatisha tamaa, hata mimi ni matarajio yangu atampata wa kuendana na yeye.
Majority hawana upendo seriousKwanini hauwataki?
Mwanamke akishafikisha 25 hana mtu wa kumuoa, akazane kusoma. Apige masters na akaazanae na Phd angalau akifika 30s awe nayo. Kuna binti nilisoma naye Bachelors alimaliza akiwa 23 akapata kazi l. Alipofika 25 hana mtu yupo yupo kaka zake wakamtafutia masters Marekani hauwezi amini yule binti amepata Phd yupo 32. Hadi mimi mwenyewe nilitaka kuchumbia aisee sema class mate wangu yupo ofisi ya CAG akachukua jiko.Kupata anaweza kupata msimkatishe tamaa
Ukristo ndio nini, umri huo bado unabagua, dini yenyewe imekuja na meli leo mnaitukia kubaguana? Mtu mweusi ht akili yake ni nyeusi.Umri huo tayari washaoa, punguza umri na hilo la born again; as long as ni mkristo inatosha.
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga
Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .