Matured Christian Man for Marriage

Matured Christian Man for Marriage

Status
Not open for further replies.
Wewe unaamini huyu Ni wakike anatafuta mume kweli?
Akili yake na malezi yake vipo sawa vyote?
Sijui jinsia yake Sina uhakika
Ila Kwa naman anavyobaehave kadribanavyoendelea ndio inaleta shaka
Haendani na vigezo vya kuwa born again.hana hekima ya maneno.
Ukiwa insulted chagua ukimya,ni busara na hekima pia.
 
Mwanamke akishafikisha 25 hana mtu wa kumuoa, akazane kusoma. Apige masters na akaazanae na Phd angalau akifika 30s awe nayo. Kuna binti nilisoma naye Bachelors alimaliza akiwa 23 akapata kazi l. Alipofika 25 hana mtu yupo yupo kaka zake wakamtafutia masters Marekani hauwezi amini yule binti amepata Phd yupo 32. Hadi mimi mwenyewe nilitaka kuchumbia aisee sema class mate wangu yupo ofisi ya CAG akachukua jiko.
Sometimes age is just a number kwakuwa being in right place at right time .

Unafikiria hiyo masters wangapi wanaweza Ku-afford kuisoma ?

Siku zote ukiwa unatoka Familia bora ur future will shine and be bright .

Kasoma Masters maandishi matatu USA .

Kaolewa na mfanyakazi kutoka kwa CAG .

Ukifatilia hapo is about network , family and etc .

Wazo lako ni bora kwa wale wanaotoka good family with high income
 
Sometimes age is just a number kwakuwa being in right place at right time .

Unafikiria hiyo masters wangapi wanaweza Ku-afford kuisoma ?

Siku zote ukiwa unatoka Familia bora ur future will shine and be bright .

Kasoma Masters maandishi matatu USA .

Kaolewa na mfanyakazi kutoka kwa CAG .

Ukifatilia hapo is about network , family and etc .

Wazo lako ni bora kwa wale wanaotoka good family with high income
Sawa mkuu ila mwanamke umri umeenda unakuta hana ujuzi wala elimu. Au hata kama ana elimu hana kazi na yupo kwao tu na hana utaalamu hata wa kushona nguo wala kufuga kuku. Huyu unadhani nani anamhudumia ? Ni ngumu sana kumshawishi mwanaume mwenye uwezo amuweke ndani. Labda ambao wana mizigo mizito na migumu.
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Una watoto wangapi? Mbona wewe hujasema?
 
Kwa gubu hili, huambiliki ndio maana unarandaranda mitandaoni. Baki na gubu lako hadi utakapotaka anaepumua tu. We ungekuwa born again si ungepata huko kanisani kwako ila gubu dada ndio maana unakimbiwa.
Duh, Wazaramo hamna break kwenye midomo yenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom