Matured Christian Man for Marriage

Matured Christian Man for Marriage

Status
Not open for further replies.
Unatafuta mume then unaonyesha ujeuri kwenye kadamnasi? Kuwa humble, utakosa mume Kisha uanze kusema umerogwa kumbe jeuri zako zinakuponza....nimeshajua why upo 30 na hujaolewa.
Inasikitisha sana ndio maana ndoa nyingi za kikristo zinaongoza kwa talaka.
 
Ndo dawq yao
Kwahio wewe umekuja kujibizana na wanaume...nikupe pole kwanza hutopata mwanaume hapa na zaidi lazima utakua una matatizo makubwa kwamba huko kanisani kwako wanaume wote hawajakuona Hadi umefikisha miaka30 Bado ngoma mbichi, Hadi umekuja kwenye mitandao ya kijamii? Hakuna mwanaume miaka 40+ anatafuta mke ..ni either anatafuta mchepuko ama mtu wa kumaliza nae uzee..😂 na I believe huko kanisani kwako sijui uko kwa mwamposa , unawaona wengi wao wako na wake zao na watoto kibwena...endelea kuchambua mchele na majibu yako hayo.. miaka 40 hio hapo.. itafika utakuja tena hapa kusema unataka ANAYEPUMUA TU...

NB: kampeni ya kataa ndoa inashika Kasi. Sista Meri...saivi wanaume hatumi ovyo ovyo tu ..Hadi uvishwe Pete mbele ya watu lazima uwe umechambuliwa kweli kweli tabia zako Hadi na kabila LAKO Hadi ndugu zako. ..chukua ushaur wa Bure huo sista Meri.
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Mimi nipo tayari ila naona una makasiriko sana na umri au watoto kwamba lazima awe mmoja.

Ondoa hasira ili kwa maelezo yako ya "amemaliza ujana wake" umpate.

Vinginevyo labda kwa ushauri umzae wako, umlee hadi aje awe kitu ukitakacho kwa umri huo itakusaidia.

All are in lah lilah na tuna mambo tuyapendayo. Mrhbaan saneà.
 
Mafeminist uchwara kwenye kutafuta mwenza hakuna ubabe Wala kujiona mwamba wala kula za uso, tabia yako inaweza kujionesha wazi tu hata kwa unachoondika...kupandishiana vifua na wanaume ...endeleeni kuoana wenyewe kwa wenyewe si mmerhusiwa?
Don't take it serious mkuu sio Uzi wangu huu....anyway muhusika ndo huyo umemuona?
Mi nachangamsha genge tu mwaya ila kiukweli huyu dada anakoseaa,nsiwe mnafki!
Majibu yake yanaweza kuwarudisha nyuma wenye Nia njema akaambulia wahuni huko pm
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .

With no kids? Between 40 and 45 no kids? Time bomb
 
Don't take it serious mkuu sio Uzi wangu huu....anyway muhusika ndo huyo umemuona?
Mi nachangamsha genge tu mwaya ila kiukweli huyu dada anakoseaa,nsiwe mnafki!
Majibu yake yanaweza kuwarudisha nyuma wenye Nia njema akaambulia wahuni huko pm
Ana Uzi wake wa 2024 ..
Karudi tena 2025. ..
Si unajua wanajukwaa sisi tunafukua makaburi tu ..tunakuambia tu rejelea uzi wako huu...halafu tunakaa pembeni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom