Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 4,122
- 7,653
Inasikitisha sana ndio maana ndoa nyingi za kikristo zinaongoza kwa talaka.Unatafuta mume then unaonyesha ujeuri kwenye kadamnasi? Kuwa humble, utakosa mume Kisha uanze kusema umerogwa kumbe jeuri zako zinakuponza....nimeshajua why upo 30 na hujaolewa.