Matumizi ya udi na faida zake

Matumizi ya udi na faida zake

Udi una historia ndefu sana na uko wa aina mbali mbali na paka mwingine una thamani kubwa sana na hupimwa kwa tola au grams kama vile dhahabu. Unatumiwa na jamii nyingi duaniani hasa Asia.
 
Asalaam Aleykum Madame S? Nijulie hali yako binti ili mchana wangu uende vyema tafadhali
Wewe ruka ruka tu Mimi nipo kivitendo zaidi Madam S si tuta kutana tena pale kinondoni kwetu nisikie tena harufu ya all udi mashaallah
 
Yaani nikienda duka nikakuta wamepulizia huo udi sijui ubani ndio inakuwa mwisho wa mimi kwenda duka hilo. Siipendi kabisa
 
Wewe ruka ruka tu Mimi nipo kivitendo zaidi Madam S si tuta kutana tena pale kinondoni kwetu nisikie tena harufu ya all udi mashaallah
Sina kumbukumbu kama niliwah kukuambiaa nakaa huko sipend kushuhudia uongo
 
Waaleyqum salaaam me alhamdulillah mzima buheri WA afya
Naam! Mchana wangu sasa utakwenda vyema, Allah akubariki sana binti kwa moyo huo wa pekee!!

Nijulie hali ya tumbo lako sasa, mchana huu!! Ushatia chochote, wajibu wangu mwanaume ni kuhakikisha binti kama weye una uhakika wa maakuli ya maana na mengineyo
 
exactly....... ila niliwahi kuona kwa macho yangu hii ya kuchoma kuomba dua nilimsindikiza ndugu yangu kufanyiwa kisomo akaambiwa wakat anachoma udi asiombe udi aombe Mungu huku udi ukiendelea kutoa moshi wake na aushikilie mpaka kisomo kiishe asante kwa kujazia nyama mkuu
Mti wa Chuma
Asante kwa maelezo ya Udi
Udi Ulikuwa unatumika zamani wakati wa visomo au mkusanyiko mwingi wa watu.madhunyni yake yalikuwa ni kutoa harafu za vikwapa na majasho makali.
Sasa watu hawasomi Hitma bila ya kuchoma udi na ubani.Huu ni uzushi ktk dini.
 
Mti wa Chuma
Asante kwa maelezo ya Udi
Udi Ulikuwa unatumika zamani wakati wa visomo au mkusanyiko mwingi wa watu.madhunyni yake yalikuwa ni kutoa harafu za vikwapa na majasho makali.
Sasa watu hawasomi Hitma bila ya kuchoma udi na ubani.Huu ni uzushi ktk dini.
dooh thanks kwa information mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom