Matumizi ya udi na faida zake

Matumizi ya udi na faida zake

Kwa kweli mwanamke akijifushia UDI inapendeza sana napenda mwanamke anajifusha al ud huwa swadakta
Inamfanya anakua na maconfidence ya hatarii halafu awe twahara mwili Kuna jinsi flani unakua mwepesi
 
Na ule kwenye ibada za jumapili katoliki huvukiza nini?
 
Mti wa Chuma,
Nashukuru umesema ukweli hasa na 2 udi huita majini hasa kwa wachawi wa kidini, nasema wachawi kwani majini mengi ni ya madhara tu
 
Udi una matumizi mengi na kila mtu anatumia kwa sababu zake. Binafsi napenda sana ule wa vijiti wa kuchoma, chumba kinanukia vizuriii siku nzima, jioni ukirudi unakaribishwa na harufu nzuri.
Nyumba bila bukhuur haina raha kwa kweli, yaani nikiingia na mood mbaya nikakuta harufu nzuri natulia mwenyewe kama Bill Gates kwenye nyumba yake ambapo taa zinabadilika kuendana na mood, same apply to me kwenye bakhoor hahaha
 
Inapendeza sana mwanamke akiwa ananukia UDI yaani inapendeza kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom