Nahitaji elimu zaidi katika matumizi ya solar

Nahitaji elimu zaidi katika matumizi ya solar

God Matari

Member
Joined
Aug 26, 2018
Posts
6
Reaction score
9
Habari zenu wakuu, naomba kufahamu juu ya matumizi ya solar za majumbani, hasa ukubwa na udogo.

Ninahitaji kufunga ila natamani kujua ni solar yenye ukubwa gani ambayo itanifaa, vitu vyakutumia umeme ni vya kawaida tu, je naweza kufunga solar ukubwa wa kiwango gani?
 
Habari zenu wakuu, naomba kufahamu juu ya matumizi ya solar za majumbani, hasa ukubwa na udogo.

Ninahitaji kufunga ila natamani kujua ni solar yenye ukubwa gani ambayo itanifaa, vitu vyakutumia umeme ni vya kawaida tu, je naweza kufunga solar ukubwa wa kiwango gani?
mbona kama vile haujui kile unachotaka mkuu?
 
Friji, pasi, tv , feni na radio
Kama unataka kweli kutumia solar na idumu, achana na friji na pasi, tumia tuu radio, tv na feni ya chini ya DC 12V

Pannel chukua watts 150
Battery chukua N100
Charger controler chukua ya 30A
Taa za ndani weka za watt 1

Kwa uzoefu wangu ukitumia inverter maisha ya battery yatakua mafupi sana.

Tumia vifaa vyote vya umeme wa DC
 
Kama unataka kweli kutumia solar na idumu, achana na friji na pasi, tumia tuu radio, tv na feni ya chini ya DC 12V

Pannel chukua watts 150
Battery chukua N100
Charger controler chukua ya 30A
Taa za ndani weka za watt 1

Kwa uzoefu wangu ukitumia inverter maisha ya battery yatakua mafupi sana.

Tumia vifaa vyote vya umeme wa DC

Asante mkuu
 
Habari zenu wakuu, naomba kufahamu juu ya matumizi ya solar za majumbani, hasa ukubwa na udogo.

Ninahitaji kufunga ila natamani kujua ni solar yenye ukubwa gani ambayo itanifaa, vitu vyakutumia umeme ni vya kawaida tu, je naweza kufunga solar ukubwa wa kiwango gani?
Vitaje hivyo vifaa na kiwango cha umeme kinachohitaji then usikilizie watu wakupigie hesabu. Itakuwa ni uoumbavu kusema unajua solar ya watt 300 Kumbe mahitaji yano kwa siku nzima ni wat 140.
 
Kama unataka kweli kutumia solar na idumu, achana na friji na pasi, tumia tuu radio, tv na feni ya chini ya DC 12V

Pannel chukua watts 150
Battery chukua N100
Charger controler chukua ya 30A
Taa za ndani weka za watt 1

Kwa uzoefu wangu ukitumia inverter maisha ya battery yatakua mafupi sana.

Tumia vifaa vyote vya umeme wa DC
Wewe ni mtaalam wa solar au umekaririshwa? Kwa nini achukue tu 150watt? Kama ana uwezo wa kutumia hivyo vifaa kwa nini umzuie?
 
Friji, pasi, tv , feni na radio
Friji na Pasi utapasuka mfuko sheikh ,labda utafute Friji na pasi za DC na Friji uwe unaliwasha mchana tu ikifika saa 11 jioni unalizima ,pasi kupiga mchana tu.

Kama unataka kutumia Taa ,TV na Radio kwa experience yangu ili uenjoy funga Battery RITA 400N na Pannel 600Watts.

Utapata Total Power = 12V x 400Ah = 4.8Kwh ,Consumption 80% = 3.8KWA

Vifaa unavyoweza kutumia:-

1.TV LED - 75W
2.Taa 10 ,Taa za Nje 4 za 3W na 6 za ndani za 2W = Total 24W
3.Wifi Router = 10W
4.Kuchaji Laptop 60W
5.Decoder 10W
6.Radio 40W

Unyambulisho:-

Taa zinawaka kwa 12Hrs = 12*24 = 0.288KWA
TV utatumia labda 6hrs = 75W *12 = 0.9KWA
Decoder 10W utatumia nayo kwa 6hrs =10W * 6 = 0.06KWA

Tambua kwamba Solar inatumika zaidi usiku wakati jua hakuna hivyo 3.8KWA ndiyo power unliyokuwa nayo kuanzia jua linapozama mpaka linapokucha.

Kama ni mtumiaji wa TV sana means unaweza kuangalia vizuri hadi saa nane usiku na chaji isiishe.

Mchana unatumia direct kutoka kwenye pannel na si kwenye battery.
 
Friji na Pasi utapasuka mfuko sheikh ,labda utafute Friji na pasi za DC na Friji uwe unaliwasha mchana tu ikifika saa 11 jioni unalizima ,pasi kupiga mchana tu.

Kama unataka kutumia Taa ,TV na Radio kwa experience yangu ili uenjoy funga Battery RITA 400N na Pannel 600Watts.

Utapata Total Power = 12V x 400Ah = 4.8Kwh ,Consumption 80% = 3.8KWA

Vifaa unavyoweza kutumia:-

1.TV LED - 75W
2.Taa 10 ,Taa za Nje 4 za 3W na 6 za ndani za 2W = Total 24W
3.Wifi Router = 10W
4.Kuchaji Laptop 60W
5.Decoder 10W
6.Radio 40W

Unyambulisho:-

Taa zinawaka kwa 12Hrs = 12*24 = 0.288KWA
TV utatumia labda 6hrs = 75W *12 = 0.9KWA
Decoder 10W utatumia nayo kwa 6hrs =10W * 6 = 0.06KWA

Tambua kwamba Solar inatumika zaidi usiku wakati jua hakuna hivyo 3.8KWA ndiyo power unliyokuwa nayo kuanzia jua linapozama mpaka linapokucha.

Kama ni mtumiaji wa TV sana means unaweza kuangalia vizuri hadi saa nane usiku na chaji isiishe.

Mchana unatumia direct kutoka kwenye pannel na si kwenye battery.
Nilisema hapo juu friji na pasi avitoe, Kuna jamaa likanivamia kuleta mdomo, sola nimetumia tangia 2015 nina uzoefu nazo
 
Friji na Pasi utapasuka mfuko sheikh ,labda utafute Friji na pasi za DC na Friji uwe unaliwasha mchana tu ikifika saa 11 jioni unalizima ,pasi kupiga mchana tu.

Kama unataka kutumia Taa ,TV na Radio kwa experience yangu ili uenjoy funga Battery RITA 400N na Pannel 600Watts.

Utapata Total Power = 12V x 400Ah = 4.8Kwh ,Consumption 80% = 3.8KWA

Vifaa unavyoweza kutumia:-

1.TV LED - 75W
2.Taa 10 ,Taa za Nje 4 za 3W na 6 za ndani za 2W = Total 24W
3.Wifi Router = 10W
4.Kuchaji Laptop 60W
5.Decoder 10W
6.Radio 40W

Unyambulisho:-

Taa zinawaka kwa 12Hrs = 12*24 = 0.288KWA
TV utatumia labda 6hrs = 75W *12 = 0.9KWA
Decoder 10W utatumia nayo kwa 6hrs =10W * 6 = 0.06KWA

Tambua kwamba Solar inatumika zaidi usiku wakati jua hakuna hivyo 3.8KWA ndiyo power unliyokuwa nayo kuanzia jua linapozama mpaka linapokucha.

Kama ni mtumiaji wa TV sana means unaweza kuangalia vizuri hadi saa nane usiku na chaji isiishe.

Mchana unatumia direct kutoka kwenye pannel na si kwenye battery.
Kuna watu humu JF wanajua kuelezea hadi raha. Yaani hata kama hujasomea hiyo field unaelewa Mujarabu kabisa.
 
Friji na Pasi utapasuka mfuko sheikh ,labda utafute Friji na pasi za DC na Friji uwe unaliwasha mchana tu ikifika saa 11 jioni unalizima ,pasi kupiga mchana tu.

Kama unataka kutumia Taa ,TV na Radio kwa experience yangu ili uenjoy funga Battery RITA 400N na Pannel 600Watts.

Utapata Total Power = 12V x 400Ah = 4.8Kwh ,Consumption 80% = 3.8KWA

Vifaa unavyoweza kutumia:-

1.TV LED - 75W
2.Taa 10 ,Taa za Nje 4 za 3W na 6 za ndani za 2W = Total 24W
3.Wifi Router = 10W
4.Kuchaji Laptop 60W
5.Decoder 10W
6.Radio 40W

Unyambulisho:-

Taa zinawaka kwa 12Hrs = 12*24 = 0.288KWA
TV utatumia labda 6hrs = 75W *12 = 0.9KWA
Decoder 10W utatumia nayo kwa 6hrs =10W * 6 = 0.06KWA

Tambua kwamba Solar inatumika zaidi usiku wakati jua hakuna hivyo 3.8KWA ndiyo power unliyokuwa nayo kuanzia jua linapozama mpaka linapokucha.

Kama ni mtumiaji wa TV sana means unaweza kuangalia vizuri hadi saa nane usiku na chaji isiishe.

Mchana unatumia direct kutoka kwenye pannel na si kwenye battery.
Safi sana engineer
 
Angalau wewe umemsaidia. Ila mpaka hapa ile 3.8 KWA haijaisha.
Ni kweli mkuu 3.8KWA/h hajaimaliza

Tukijumlisha hizo Watts = 75W(TV)+24W(Taa)+10W(Wifi)+10W(Decoda)+40W(Radio)+60W(Laptop) = 220W

Total Watts = 220W = 0.22KW

Running Hours = 3.8KWh/0.22KW = 17Hours

Akiwasha hivyo vitu anaweza kutumia kwa 17hrs ,solar inaanza kufanya kazi saa 12+dakika kadhaa asubuhi ila intensity nzuri ya jua ni kuanzia saa tatu asubuhi mpaka 10 Jioni ,kwahiyo kuanzia saa 11 jioni mpaka saa tatu asubuhi kuna 16hrs hapo na anabakiza kudai saa 1....Maana yake kwa hivyo vifaa anaweza kurun 24hrs bila kuathirika na ndipo atakapoenjoy solar ,hana wasiwasi wa power kuisha.
 
Habari zenu wakuu, naomba kufahamu juu ya matumizi ya solar za majumbani, hasa ukubwa na udogo.

Ninahitaji kufunga ila natamani kujua ni solar yenye ukubwa gani ambayo itanifaa, vitu vyakutumia umeme ni vya kawaida tu, je naweza kufunga solar ukubwa wa kiwango gani?
Ishi nayo hii
 

Attachments

  • Screenshot_20260823_002554_WPS Office.jpg
    Screenshot_20260823_002554_WPS Office.jpg
    86.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom