Matumizi ya udi na faida zake

Matumizi ya udi na faida zake

Madame S,
Habari Madame, Hivi wanaume tunaweza kuogea huo udi wa maji au kufukiza?, Endapo tunaweza...kuna namna gani nitumie udi bila kuvutia hao majini yoyote?, Pia ni majina yapi ya udi unapendekeza kwa mwanaume atumie na ambayo hunukia vizuri?.

Ni hayo tu madame, maana kila ninapotembelea tanga ninakutana na watu wanamanukato mazuri, huwa naenjoy daladala za tanga nadra kusikia harufu za kwapa ni manukato kwenda mbele, mimi ni mkristo na upande wetu huku mambo haya ni mageni japo binafsi napenda sana kuyajua na kuanza kutumia. Huwa naikumbuka Tanga kwa mambo haya adimu huku mikoa mingine
 
Duhh kunajamaa nilikua nakaanae pindinpogo chuon alkua anachoma mida ya saakumi uku anafanyayake yaaani nilikua naota ndotozaajabu maranaskia makelele kwenye ukuta dahhh mpaka nkamuama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom