Matumizi ya udi na faida zake

Matumizi ya udi na faida zake

umeona eh my dear natumia vyote na kila ijumaa lazima ni mix na al ud kidogo ndo najihis kuchangamka wallah mm n mlevi wa haya mambo napenda kunukia mno


Tu pamoja kwa hilo, napenda hata nyumba kufukizia udi jumapili nikimaliza usafi nyumbani
 
Naona mnachachanya Kati ya Udi ma Ubani
Yote ni jamii moja na hitumika kwa njia tofauti
Agar wood (bakhoor) au UUD na frankincense yote hutumika kwa harufu nzuri kwa mwili na majumbani pia hii ni universal tradition, pia inatumika kwa baadhi ya mataifa kwa mambo yao hayooo ingawa huku kwetu (tz) wanatumia ubani
 
Huku uswazi magetoni UDI unachomwa masaa 24 siku 7 za wiki,sio mambo ya imani??hapana ni kupotezea harufu ya MAJANI

Ukikatiza mitaa ya wahaya,mwanayamala,uwanja Wa fisi katika biashara zisizo na kodi zile pia wanapenda kichoma udi ili angalau ukiingia usisikie harufu ya bao la njemba iliyotoka kugegeda kabla yako wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom