Jamani Rais ana wa shauri wengi sana wenye utaalam kwenye issue iliyopo mezani kwa wakati huo tusijifanye wajuaji sana hapa. Hivi unapoweka train morogoro road alafu sehemu zingine za mji hamna ndio utakuwa umesolve tatizo gani, kwa mji kama dar es salaam tatizo ni msongamano wa magari sio msongamano wa abiria na hicho ndio tunachokishudia sasa hivi mchana daladala nyingi zimepaki au zinatembea hazina watu kabisa lakini foleni Tazara, ubungo chang'ombe ,Magomeni na Morocco ni kubwa sana,nafikiri mngeanza kusoma problem statement na implication of doing nothing kwenye proposal ya hii project ndio mje hapa msifanye watu hawana akili. Nyinyi mnafikiri gharama ni kujenga au kununua train tu, Je gharama za uendeshaji na matengenezo kama wangeamua kujenga mifumo ya reli mnazijua, ACHENI BWANA HIZO ON AIR CALCULATION ZENU ZA AJABU AJABU