Matumizi sahihi na mahali sahihi

Matumizi sahihi na mahali sahihi

MSALANI ujenzi wa taifa lipi???

Hiyo picha hapo kwenye avator ni wewe? Mbona unaonekana mwili mkubwa halafu akili finyu? Kutwa kucha unashinda jamii photos ukipost picha za ujinga ujinga ambao ulishapitwa na wakati?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo picha hapo kwenye avator ni wewe? Mbona unaonekana mwili mkubwa halafu akili finyu? Kutwa kucha unashinda jamii photos ukipost picha za ujinga ujinga ambao ulishapitwa na wakati?

Kila kitu ni mimi kwa asilimia mia but at least sijiiti msalani, na la muhimu kuliko vyote situkaniki wee ongea yote lakini kujiita msalani ni dalili mbaya mno
 
Kila kitu ni mimi kwa asilimia mia but at least sijiiti msalani, na la muhimu kuliko vyote situkaniki wee ongea yote lakini kujiita msalani ni dalili mbaya mno

MUSSA HASSAN(MSASANI) na MUSSA ALLAN(MSALANI).. Kuna shida gani? wewe ni mwehu tu!
 
Usikute hicho ni choo na watu wanakukwenda kunya humo
 


attachment.php


Aliyeweka hapo itabidi Tumlimboke huyoooooooooooo ni nani asiye ogopa Chama Twawala? au ndie wewe Mkuu tpaul ?
 
Last edited by a moderator:
MSALANI hata wewe unashida jf ukianndika comments za kijinga kabisa,sijawahi kuona hata mada yako moja yenye maana na kama ipo ilete hapa.
_ni aheri. mshana jr anatuwekea na picha za burudani kuliko wewe unayeandika ujinga!!
 
Last edited by a moderator:
Zamani enzi zile watoto wa mabalozi wa nyumba kumi wengi walikuwa wanashnewa chupi za bendera za chama, kwa tu wazima kile kipande cha jembe na nyundo anashona baba mwenye mji maana kile ni kesi na chupi ya mtu mzima kuonekana ni issue
teh teh hehehe he, sikua na nia ya ku coment kabisa, ila haya maneno yako yalivyo kuntu, imenipasa kufanya hivi. KWELI WATU MNAUTHUBUTU.
 
Back
Top Bottom