Mnahangaika sana baada ya kushindwa kuvuruga Amani ya nchi. Na hiki ndicho mnachokiweza. Sishangai kujua kuwa kiongozi mkubwa wa Chadema ndiye anayetengeza picha hizi.
Zamani enzi zile watoto wa mabalozi wa nyumba kumi wengi walikuwa wanashnewa chupi za bendera za chama, kwa tu wazima kile kipande cha jembe na nyundo anashona baba mwenye mji maana kile ni kesi na chupi ya mtu mzima kuonekana ni issue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.