Matoleo ya baiskeli Tanganyika

Matoleo ya baiskeli Tanganyika

JWZT walitowaga mkopo kwa askari wake nchi nzima walikuwa wanazogombania balaa DRAGON zilikuwa nguma balaa

Mwaka 1993 walimu nao wakafikiwa na SWALA ilikuwa balaa nyepesi mjini na vijijini ilikuwa burudani nyumba za walimu.

Mwaka 1996 nakuendelea balaa JWTZ nao wakafikiwa na toleo linaitwa DRAGON askari wakapewa mikopo zilikuwa nzito ngumu balaa

YOTE KWA YOTE MAREHEMU MKAPA APEWE MAUA YAKE KWANI BAADA YA KURUHUSU MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA MAMBO YAMEENDA KASI SANA ONA MTU ALIKOPA BASKELI, RADIO, GODORO😂😂😂😂 BATI, SIYO PESA HAPANA ALIPEWA VITU KWANI HAWAKUWA NAVYO NOWDAYS WATUMISHI HAWAITAJI VITU TENA WANAITAJI PESA

TAFAKURI HAYA ALIFANYA MKAPA JE VIONGOZI WALIOKUJA WAMEFANYA NINI JIPYA SO WANAPOSEMA

NO REFORM NO ELECTION ELEWENI
 
Itakumbukwa pia ndicho kipindi kulikuwa na ushuru wa baiskeli, unakatiwa kipande Ile stika unabandika usibugudhiwe na sungusungu!!
 
FB_IMG_1753302582648.jpg
 
Ilikuwepo AVON pia na miaka ya 90 mwishoni zikawepo TUSKER!!
 
Bila kuzitaja ,Zile za " inakimbia zaidi ya farasi na kubeba mizigo zaidi ya punda", zilizokuwa zikiuzwa SUKITA, hujawaweza wasukuma
RTD.... basi tu.
 
Wanasema baiskeli vijijini ndo zilikuwa zinakata utepe wa mabinti je lina ukweli hili?
Matajiri wa vijijini wengi walimiliki zaidi ya tano kwa wakati mmoja.. Tatu zikiwa za matumizi binafsi
1. Kubeba radio na bakora
2. Kumbeba tajiri
3 kubeba koti na mfuko
 
Back
Top Bottom