Ila issue ya kutoa baiskeli naona hawakufikiria vizuri .
Kwanza wamewadharau wananchi
Pili , hakukuwa na ulazima hizo baiskeli kuandikwa SSH
Na wangebarikiwa zaidi ikiwa wangewapa wahitaji bila kuweka vyama .
Mimi ningekuwa mshauri wa ccm.
Zile pikipiki ningeshauri zikae maeneo ambayo ni remotely , (Hayafikiki) then tungempatia Mtendaji , na kumpa utaratibu maalumu kuwa katika shughuli za kijamii ndo pikipiki zitumike pasipo kuangalia vyama .
Mfano, kumuhaisha Mama mjamzito hosptali , wagonjwa , n.k.
Then hao makatibu na Mabalozi ili kurahisisha shughuli zao za kisiasa wangepewa vishikwambi vyenye unlimited bundle .
Kwakuwa 70-90% shughuli za kisiasa zinaweza kufanyika online .
Kwakuwa ukipiga hesabu hizi pikipiki mpaka sasa watu wamezibaki kisa kukosa Mafuta , na wengine wameziuza , pia utumiaji wake wa mafuta ni mkubwa tofauti na pikipiki za kawaida.