Matoleo ya baiskeli Tanganyika

Matoleo ya baiskeli Tanganyika

Ila issue ya kutoa baiskeli naona hawakufikiria vizuri .

Kwanza wamewadharau wananchi
Pili , hakukuwa na ulazima hizo baiskeli kuandikwa SSH

Na wangebarikiwa zaidi ikiwa wangewapa wahitaji bila kuweka vyama .


Mimi ningekuwa mshauri wa ccm.

Zile pikipiki ningeshauri zikae maeneo ambayo ni remotely , (Hayafikiki) then tungempatia Mtendaji , na kumpa utaratibu maalumu kuwa katika shughuli za kijamii ndo pikipiki zitumike pasipo kuangalia vyama .

Mfano, kumuhaisha Mama mjamzito hosptali , wagonjwa , n.k.


Then hao makatibu na Mabalozi ili kurahisisha shughuli zao za kisiasa wangepewa vishikwambi vyenye unlimited bundle .

Kwakuwa 70-90% shughuli za kisiasa zinaweza kufanyika online .

Kwakuwa ukipiga hesabu hizi pikipiki mpaka sasa watu wamezibaki kisa kukosa Mafuta , na wengine wameziuza , pia utumiaji wake wa mafuta ni mkubwa tofauti na pikipiki za kawaida.
Zile pikipiki si za serikali ni za Chama cha Mapinduzi wametoa kwenye fedha zao wenyewe unataka zisitumike kwa shughuli za Chama ni sawa na Chadema uwaambie magari M4C wasibandike nembo ya Chadema na watumie kubebea mizogo ya wananchi sokoni, pia serikali ina utaratibu wake wa kuwapa vyombo watumishi wa umma kama watendaji na ma-bwana na ma-bibi kilimo
 
Mkuu bado sijaona zilizokuwa na site mirror asee
Za zamani hazikuwa na sight mirror Ila Wasukuma walizifanyia featuring
Wapi Chang Zing
d6e51a01-7002-447c-a673-ef7c6de53b44.jpeg
 
Zile pikipiki si za serikali ni za Chama cha Mapinduzi wametoa kwenye fedha zao wenyewe unataka zisitumike kwa shughuli za Chama ni sawa na Chadema uwaambie magari M4C wasibandike nembo ya Chadema na watumie kubebea mizogo ya wananchi sokoni, pia serikali ina utaratibu wake wa kuwapa vyombo watumishi wa umma kama watendaji na ma-bwana na ma-bibi kilimo
Kuna utofauti gani wa ccm na Serikali ?
 
Serikali inaundwa na watu wa vyama na wasio na vyama Ccm inaunda na wana-Ccm pekee, uchaguzi uliopita Magufuli alishinda kwa kura mil 12.5 na nchi hii ina watu zaidi ya mil 60 sasa unaweza ukaona hata nusu robo hawajahusika.
Ccm ndo decision makers wa Nchi na Serikali .

Hauwezi kuitenganisha Serikali na Ccm au kinyume chake .

Wao kupitia ruzuku wanayopewa kwa mwezi kwa mwaka , hawana uwezo wa kununua Mabuss, kununua Magari ya kifahari latest cars , Kununua pikipikipiki na baiskeri .

Kama wangekuwa na uwezo huo basi wangekuwa na uwezo wa kuwalipa makatibu wao wa kata mishahara , kila mwezi na hao mabalozi wa shina .



Kinachotokea ni kuchukua hela ambayo IPO katika mfuko wa kulia na kuiweka katika mfuko wa kushoto .


Mimi naijua sio kwa kuadithiwa Ila naijua kwa ukaribu .


Piga hesabu ya Magari walionunua since 2021

Pia hesabu za Mabuss walionunua

Piga hesabu ya Mavazi na sale

Piga hesabu ya pesa wanazowalipa Wasanii


Piga hesabu ya pikipiki , na baiskeli


Hapo haujaweka mishara ya viomgozi wa juu wa chama , posho na mikutano , na hapo hapo wanafanya ziara mikutano , n.k


Ukimaliza uangalie na pesa wanayopata ya ruzuku je vinaendana au haviendani .


Hauwezi kuchukua pesa za Umma ambazo zingesaidia jamii kubwa na kujimilikisha kisa tu una hold power .

Ndo maana nimesema ugawaji na ununuaji wa baiskeli na pikipiki haukuwa sahihi .


unanunua Mubuss , then unasahu gari za mwendo kasi tu hamna.
 
Hapa kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S akiwa na kaka yake wa kambo Abbas ibn Ali wakitakiana kheri kabla ya kuelekea Karbala kuulinda na kuutetea uislamu ambapo imam wetu kipenzi mkombozi wa waislamu aliuwawa kikatili kuutetea uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu. Zuljanah kulia.

View attachment 3406311

adriz Covax
Hizi ni baisikeli model gani?..🤔
 
Back
Top Bottom