Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,087
Tulia mama bandari haiwezi kuhamishwaBaiskeli haiwezi kubeba hata tikiti halafu unabadilishana na Bandari, hivi ni akili kweli hiyo?
Tulia mama bandari haiwezi kuhamishwaBaiskeli haiwezi kubeba hata tikiti halafu unabadilishana na Bandari, hivi ni akili kweli hiyo?
Hizi walipewaga wanajeshi!Pia kuna nyingine ilikuwa inaitwa "Flying Pigeon". Chuma kweli kweli!
Wapi Chang ZingDah... Umeziweka zote✌🏿💪🏿
Zile pikipiki si za serikali ni za Chama cha Mapinduzi wametoa kwenye fedha zao wenyewe unataka zisitumike kwa shughuli za Chama ni sawa na Chadema uwaambie magari M4C wasibandike nembo ya Chadema na watumie kubebea mizogo ya wananchi sokoni, pia serikali ina utaratibu wake wa kuwapa vyombo watumishi wa umma kama watendaji na ma-bwana na ma-bibi kilimoIla issue ya kutoa baiskeli naona hawakufikiria vizuri .
Kwanza wamewadharau wananchi
Pili , hakukuwa na ulazima hizo baiskeli kuandikwa SSH
Na wangebarikiwa zaidi ikiwa wangewapa wahitaji bila kuweka vyama .
Mimi ningekuwa mshauri wa ccm.
Zile pikipiki ningeshauri zikae maeneo ambayo ni remotely , (Hayafikiki) then tungempatia Mtendaji , na kumpa utaratibu maalumu kuwa katika shughuli za kijamii ndo pikipiki zitumike pasipo kuangalia vyama .
Mfano, kumuhaisha Mama mjamzito hosptali , wagonjwa , n.k.
Then hao makatibu na Mabalozi ili kurahisisha shughuli zao za kisiasa wangepewa vishikwambi vyenye unlimited bundle .
Kwakuwa 70-90% shughuli za kisiasa zinaweza kufanyika online .
Kwakuwa ukipiga hesabu hizi pikipiki mpaka sasa watu wamezibaki kisa kukosa Mafuta , na wengine wameziuza , pia utumiaji wake wa mafuta ni mkubwa tofauti na pikipiki za kawaida.
Kuna utofauti gani wa ccm na Serikali ?Zile pikipiki si za serikali ni za Chama cha Mapinduzi wametoa kwenye fedha zao wenyewe unataka zisitumike kwa shughuli za Chama ni sawa na Chadema uwaambie magari M4C wasibandike nembo ya Chadema na watumie kubebea mizogo ya wananchi sokoni, pia serikali ina utaratibu wake wa kuwapa vyombo watumishi wa umma kama watendaji na ma-bwana na ma-bibi kilimo
naona ssh kawadanganya mabalozi wetu na mabati2025 model with terrific brand nameView attachment 3406297View attachment 3406297
wapi Flying Pigeon bike ya mchina miaka yetu hi mashine ni shidaRajan
Swala
Phoenix (poeniki kwa sisi la 3B)
Avon
Hero jet
Sinderela
Baiskeli za mama Abudula.
Watendaji na wahudumu wa afya vijijini ndio zilikuwa VIETE zao.
Serikali inaundwa na watu wa vyama na wasio na vyama Ccm inaunda na wana-Ccm pekee, uchaguzi uliopita Magufuli alishinda kwa kura mil 12.5 na nchi hii ina watu zaidi ya mil 60 sasa unaweza ukaona hata nusu robo hawajahusika.Kuna utofauti gani wa ccm na Serikali ?
Hiyo Phonex gani Jamani ????Hii kitu phonex ilikuwa balaa kubwa, babu alikuwa nayo nikienda likizo ilikuwa kuipepeza tuu.
Sawa mkuu
Ccm ndo decision makers wa Nchi na Serikali .Serikali inaundwa na watu wa vyama na wasio na vyama Ccm inaunda na wana-Ccm pekee, uchaguzi uliopita Magufuli alishinda kwa kura mil 12.5 na nchi hii ina watu zaidi ya mil 60 sasa unaweza ukaona hata nusu robo hawajahusika.
Hizi za chini lilikuwa Toleo la kipuuzi linalowafaa akina Lucas Mwashambwa! Umesahau mkuu pia tulikuwa na Brands Avon, Swala n.k. Ila Phoenix ndiyo ilikuwa baba lao, inabeba mpaka kilo 150 za mahindi Usukumani huko!2025 model with terrific brand nameView attachment 3406297View attachment 3406297
Hureeeeeee!!Swala
Phoenix (poeniki kwa sisi la 3B)
Avon
Hizi ni baisikeli model gani?..🤔Hapa kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S akiwa na kaka yake wa kambo Abbas ibn Ali wakitakiana kheri kabla ya kuelekea Karbala kuulinda na kuutetea uislamu ambapo imam wetu kipenzi mkombozi wa waislamu aliuwawa kikatili kuutetea uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu. Zuljanah kulia.
View attachment 3406311
adriz Covax
Dar hii kitu ya dabo chasis mchina aliua sana Pana zingine ulikuwa unaiendeshea kwenye tobo ukiwa mfupi au mtoto