excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
what? mwallu awe nini sasa mr sungura?
Lady niece sema ukweli,unalipenda tuuu au kuna mtu anakusumbua PM unataka umtishie!hilo andiko linatoka wapi kwani nalipendaga sana
sasa yajipasa huyu shemegio Excel ajitazame upya....asijeharibu kabisa mambo hapa!yeah..mie siwezi..halafu huyu ni shemeji yangu..kwa miss neddy
what? mwallu awe nini sasa mr sungura?
sasa yajipasa huyu shemegio Excel ajitazame upya....asijeharibu kabisa mambo hapa!
sungura1980, namuamini mwallu anaweza kumbadili huyu Excel labda aamue yeye kupotezea....
Lady niece sema ukweli,unalipenda tuuu au kuna mtu anakusumbua PM unataka umtishie!
Avue kilemba cha usister!Chezea Excel wewe,,utashangaa hapa tunaanza kuambiwa,"Unajua wito wa ndoa nao ni wito kama utawa,tena toka mwanzo Mungu aliumba watu wawili,tukizubaa kidogo tunaambiwa hao wawili walikuwa ni Excel na mwallu!!
Samahani dadangu mwallu,natania tu,najua ulivyojizatiti kwa maombi!
Mkuu Arushaone nishajiondoa kwenye hiyo club nimewaachia akina Excel na Erickb52 na Vin Diesel na Rogie na mayendga na Kipaji Halisi na Mtambuzi
Avue kilemba cha usister!Chezea Excel wewe,,utashangaa hapa tunaanza kuambiwa,"Unajua wito wa ndoa nao ni wito kama utawa,tena toka mwanzo Mungu aliumba watu wawili,tukizubaa kidogo tunaambiwa hao wawili walikuwa ni Excel na mwallu!!
Samahani dadangu mwallu,natania tu,najua ulivyojizatiti kwa maombi!
hawa ndo #teamrafiki urafiki wao unapenya hadi ndani
nimekusamehe..ombi langu kwa muumba Excell aache ubazazi..for the sake of mdogo wangu
mwallu mbona nikikwambia nimeacha huamini? huon unanilazimisha niwe bazazi?
read my mind mwallu! read the signs!! iam out of words... unaponiona nakosea, nionye kando, sio mbele za watu!!!
mwanamke aliumbwa kumtetea mwanaume no matter what!! sio kumsengenya!! sawa mwallu?
uwe unanitumia hata PM za kunionya! lol!
Nalipenda tu hilo hakuna mtu aliyewahi kunisumbua PM
na wala hajatokea wa kunisumbua rafiki, hvyo