Matokeo ya V yametoka sasa......

Matokeo ya V yametoka sasa......

pole sana mkuu inaonekana leo amna wateja ngoja jua liwake vizuri viatu vibanduke upate hela ya chai
acha tu, na hizi boda boda zimejaa mjini zimetuharibia sisi mafundi baiskeli na hii mvua watu hawaji kushona viatu vyao....
 
acha tu, na hizi boda boda zimejaa mjini zimetuharibia sisi mafundi baiskeli na hii mvua watu hawaji kushona viatu vyao....

ngoja nikuombee Mungu huyu binti anapita na viatu vya kimasai kikatike kimoja alafu mwambie 2000 atatoa au atembee peku
 
Mimi sikufanya nilikuwa ninaumwa nahisi nimewekewa
'X' yaani absent.
Nita-reseat mwaka ujao, naruhusiwa?
Majibuu ndugu msajili!
 
Back
Top Bottom