Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

We Bint baada ya kutolewa Makamasi UVCCM Naona umeibukia JF Kutafuta Bwana, na amin nakwambia utarukiwa very soon

MKUU ACHA KUARGUE NA UYO CHANGU ANAKPOTEZEA MUDA, AT MR EMMY, UYU NI CHANGU Tu
 
Ni chama kipya tena? Tujuze kama kimeshasajiliwa mkuu
tangu lini chui mla mbuzi kageuka kuwa mwanambuzi? Ccm ni nyoka na shetani, hawezi akatoka mtu huko wa kulikomboa taifa hili. Ccm ni majamba majizi mafisadi hakuna jipya huko.
 
Waambie mamie....

Nakuja kamanda

Kuna bandiko moja humu likionyesha jimboni kwa Deo Filikunjombe kata ya Mlangali Chadema imeshinda, tunachohitaji ni uthibitisho maana aliyeleta mada hajaweka data kuipa nguvu hoja yake.
 
Matokeo Kamili ya Kiwira: Walio Jiandikisha walikuwa 11866 Kura zilizo pigwa zilikuwa 4341 kura zilizo haribika 24, Chadema 2621, CCM 1649, NCCR 33, CUF 13 hivyo Chadema tumeshinda katika uchaguzi wa UDIWANI
 
Baadhi ya picha baada ya zoezi la kuhesabu kura katika vituo vya Afisa Mtendaji na Darajambili PS.

P1080433.JPG
 

Attachments

  • P1080419.JPG
    P1080419.JPG
    716.5 KB · Views: 637
  • P1080428.JPG
    P1080428.JPG
    585.6 KB · Views: 567
KUTOKA SIKONGE Matokeo kamili
ya kata ya Ipole Sikonge ni kama
yafuatayo: CHADEMA - 577. CCM -
373. CUF - 48. Tofauti ni 204.
Mshindi ni kijana mdogo wa
CHADEMA Kamanda Mohammed
Hija.

halafu bado kina ponda wanatulazimisha ati chadema ni ya wakiristo!
safi chadema, saaafi mudi
 
Matokeo Kamili ya Kiwila: Walio Jiandikisha walikuwa 11866 Kura zilizo pigwa zilikuwa 4341 kula zilizo haribika 24, Chadema 2621, CCM 1649, NCCR 33, CUF 13 hivyo Chadema wameshinda katika uchaguzi wa UDIWANI

Hii iko jimbo gani mkoa upi? Mkuu
 
Lwenzera-Geita... ccm wanaelekea kushinda...na cdm wanafuatia kwa karibu sana
 
tangu lini chui mla mbuzi kageuka kuwa mwanambuzi? Ccm ni nyoka na shetani, hawezi akatoka mtu huko wa kulikomboa taifa hili. Ccm ni majamba majizi mafisadi hakuna jipya huko.
Kweli mkuu hawa magamba tutawangoa soon
 
Baadhi ya picha baada ya zoezi la kuhesabu kura katika vituo vya Afisa Mtendaji na Darajambili PS.

View attachment 69634

Hahaha, hii kali ya mwaka sijapata kuona, maana yake wapiga kura wenyewe ndio wamejipa dhamana ya kulinda kura zao. Huku ndiko kukaba hadi penati. Hii ni dalili wazi wananchi sasa wameichoka CCM. Wasira amejificha wapi?
 
cdm hata tutakakosa hatuhesabu kama tumeshindwa maana ukombozi unaendelea.....
ccm wameachika vibaya lol!
kooote upinzani walikochukua wao wameachika! tena kwa talaka tatu...heheheeeeeee kazi kwao
hadi 2015 watajibeba!!!!!!!!!!!!!!!
 
ccm wameshatangazwa washindi mkuu, hapo tumepigwa mkuu.
source; tanuruni

Naona rafiki yangu Ritz kishatoroka hapa, ameona mambo magumu, achukulie rahisi tu kwani siasa nazo ni kama utani vile si vya kuchukulia kinyongo.
 
Safi sana!

Matokeo Kamili ya Kiwira: Walio Jiandikisha walikuwa 11866 Kura zilizo pigwa zilikuwa 4341 kura zilizo haribika 24, Chadema 2621, CCM 1649, NCCR 33, CUF 13 hivyo Chadema tumeshinda katika uchaguzi wa UDIWANI
 
Jamani mbona huko walikoshinda magamba sioni hapa JF wakifurahia ushindi kama CHADEMA wanavyofurahia?

Naona wana tatizo la kisaikolojia kutokana na progress ya CHADEMA!!
 
Back
Top Bottom