Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Nna uhakika hizo ni "stress" za Igunga, pumua kidogo kwa kutumia njia zote za kupumulia, itakusaidia.
Ahahahahaah!! Ngoja nilale mie, maana sioni dalili za kujua matokeo leo!
Nna uhakika hizo ni "stress" za Igunga, pumua kidogo kwa kutumia njia zote za kupumulia, itakusaidia.
Hivi huyu mwalimu wa CDM aliresign kazi yake au aliomba likizo bila malipo?
Sijui ataenda wapi baada ya uchaguzi. Posts zote CDM zimeshajazwa na ndugu zangu wachagga!
Huna jipya? ngoja matokeo, au kalale kesho kazi au mwenzetu jobless? na magwanda wakudanganya watakupa utajiri wakichukuwa uongozi? Au ndio wale wakimbizi mnaochukuwa fedha za bure?
CDM Inaongoza kwa matokeo ambayo yameishapatikana kwa mujibu wa Mutabuzi ITV
magamba wenzako wamesharudi dar kuendelea na msiba. Lakn ww hukati tamaa tuu. Komaa mpaka magwanda washindwe.. Rostam yupo dar hatak presha za magwandamatokeo ya kata 10 yanaonesha kuwa CCM imepata kura 10,228 wakati CDM imepata kura 7316 hivyo CCM inaongoza kwa kura 2912!
Igunga sasa isha anza nitia pressure.... Usingizi wagoma, matokeo bado ndo kwanza nasikia tena yatakua late... Naona hawataki kesho tufanye kazi.
Nna uhakika hizo ni "stress" za Igunga, pumua kidogo kwa kutumia njia zote za kupumulia, itakusaidia.
Ni kweli kabisa!
maana, Kwa data ambazo zimetolewa hapo juu, mbona inaonekana CCM wanaongoza!! (CDM 4692, CCM 5975) labda kama kuna data ambazo hamjazipost. So toeni data, tuache ushabiki!
Umesoma shule za girlz tupu?
Unanchekesha! huo mpasho uko wapi? au hujui mipasho weyee? Unanchekesha!
source tafadhari,manake watu tunashindwa tushike lipi,mara kata 13 tayari mara kata 4 etc,nawe umeibuka na kata 10!yaani ni kizungumkuti tu!!!!matokeo ya kata 10 yanaonesha kuwa CCM imepata kura 10,228 wakati CDM imepata kura 7316 hivyo CCM inaongoza kwa kura 2912!
CCM mkichakachua matokeo ya Igunga tunaanzisha cha LIBYA!!
ukweli utafahamika uck wa kuamkia kesho