Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Majimbo ya Iringa

...Tupe tarakimu kwa sababu kwa mujibu wa taarisa za muda mchache uliopita za Star TV, CCM inaongoza kwa mbali kwenye majimbo vituo vingi vya Iringa mjini!! Tuondoe wasiwasi mkuu!
 
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
Mlituona wajinga hapa wakati tunawajenga watu kisaikolojia na kiuwezo ili waweze kuwatumikia wananchi.
Unapouliza kama Sugu anafaa kwenda bungeni pia jiulize kama january makamba anafaa kuwa hata katibu kata
 
Nyerere's specter is haunting CCM from his grave......................how ridiculous that is.................
 
Wewe unafikiri nani anafaa? usiwe na mawazo mgando wewe!

Mkuu kwani hujui? kwa mafisadi anye faa kwenda bungeni, ni Kingunge, John Komba, wakiongozwa na profesa Majimarefu ili aongeze kinga kwa kushirikiana na Shahe Yahaya! lol!
 
kituo cha Stendi kuu mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa ( 33) na Prof.Ibrahim Lipumba (1).

Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36) ,mgombea wa Chadema,Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe ( 1)

Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Dk Kikwete ( 58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1),wakati nafasi ya ubunge mgombea wa CCM Mbega ( 39)Msigwa wa Chadema( 90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi ( 5)

Kituo cha Umati namba moja Kikwete ( 98) Dk Slaa 108 Mziray (1) ubunge Mbega ( 82) Msigwa ( 120) Mwakingwe ( 5),Kituo namba 2 umati Kikwete (97) Dk Slaa( 98)Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega ( 73),Msigwa (114) Mwakingwe(8) na kituo cha umati namba 3 Kikwete ( 64) Dk Slaa(57)Prof LIpumba (1) ,ubunge CCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).

Kituo cha FFU namba 1 Urais CCM(47) Chadema( 63) huku ubunge CCM(36) Chadema(68),NCCR-Mageuzi (3) na kituo cha FFU namba 2 Urais CCM( 64) Chadema( 57) na CUF( 1), ubunge CCM(58)Chadema( 64) na NCCR-Mageuzi (3).

Kituo cha IDYDC namba 1 nafasi ya Urais CCM( 62) Chadema(75) na ubunge CCM ( 46) Chadema(84) na NCCR-mageuzi (5) na kituo cha IDYDC namba 2 Urais CCM (82) Chadema(68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM( 67) Chadema(78) na NCCR mageuzi (7).

Kituo cha THB Urais CCM (97) Chadema(138) CUF( 3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1) na kituo cha Zimamoto namba 1 Urais CCM(84)Chadema(94) na CUF(2) kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema(84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8) kituo cha soko la Kitanzini namba 1 Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema(68) na CUF(1),ubunge CCM( 70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais (66) Chadema( 77) na CUF( 1) ,ubunge CCM( 49) Chadema(96) NCCR-Mageuzi (1), kituo namba mbili ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni Urais CCM (81) Chadema(81) ,CUF(2) UPDP(1)Ubunge CCM(78)Chadema(108) na NCCR-mageuzi (5)
 
Pemba as usual CCM lost all seats and Maalim seif won in Dr Shein home town parliament , Ismail Jussa won by 85 % in stone town constituency and Zanzibar election commission suspend relesing results so far we dont know why?
 
IRINGA MJINI:
Kuwegalo :CCM 144
:CHADEMA 196

IDYDC :CCM 113
:CHADEMA 162

SOKO KUU :CCM 66
:CHADEM 132

ZIMAMOTO :CCM61
:CHADEMA 113

ZIMAMOTO2: CCM 87
:CHADEMA 106
 
Matokeo ya awali katika jimbo la Iringa mjini ambayo yalikuwa yamebandikwa vituoni hadi jana majira ya saa 3 usiku ni pamoja na kituo cha Stendikuu ambako mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa (33) na Prof. Ibrahim Lipumba (1).

Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36), mgombea wa Chadema Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe (1)

Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Kikwete (58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1), wakati nafasi ya ubungemgombea wa CCM Mbega (39)Msigwa wa Chadema (90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi (5)

Kituo cha Umati namba 1
Kikwete ( 98) Dk Slaa108 Mziray (1) ubunge Mbega (82) Msigwa (120) Mwakingwe ( 5),

Kituo namba 2 umatiKikwete (97) Dk Slaa( 98) Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega (73), Msigwa (114) Mwakingwe (8)

kituo cha umati namba 3 Kikwete (64) Dk Slaa (57) Prof Lipumba (1), ubungeCCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).

Kituo cha FFU namba 1
Urais CCM (47) Chadema (63) huku ubunge CCM (36) Chadema (68), NCCR-Mageuzi (3)

Kituo cha FFU namba 2
Urais CCM (64) Chadema (57) na CUF (1), ubungeCCM (58) Chadema (64) na NCCR-Mageuzi (3).

Kituo cha IDYDC namba 1
Nafasi ya Urais CCM (62) Chadema (75) na ubunge CCM (46) Chadema (84) na NCCR-mageuzi (5)

Kituo cha IDYDC namba 2
Urais CCM (82) Chadema (68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM (67) Chadema (78) na NCCR mageuzi (7).

Kituo cha THB
Urais CCM (97) Chadema (138) CUF (3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1)

Kituo cha Zimamoto namba 1
Urais CCM(84) Chadema(94) na CUF (2)

Kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema (84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8)

Kituo cha soko la Kitanzini namba 1

Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema (68) na CUF (1), Ubunge CCM (70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais(66) Chadema (77) na CUF( 1), Ubunge CCM (49) Chadema (96) NCCR-Mageuzi (1),

Kituo namba 2 ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni
Urais CCM (81) Chadema (81), CUF (2) UPDP (1) Ubunge CCM (78) Chadema (108) na NCCR-mageuzi (5)

Hata hivyo matokeo hayo baadhi ya vituo hadi majira ya saa 3.30 usiku yakiwa bado kubandikwa na umati mkubwa wa wananchi wakiwa wamekaa nje ya vituo hivyo wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo huku FFU wakizunguka zunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa kulinda amani japo hakuna vurugu zozote zilizopata kutokea jimbo la Iringa

SORCE: - Habari
 
October 31, 2010

BREAKINGNEWs MATOKEO YA UCHAGUZI HALI SI NZURI KWA CCM IRINGA




Na Francis Godwin,Iringa



MATOKEO ya awali katika jimbo la Iringa mjini, Njombe Kaskazini na Njombe Magharibi yameanza kutoka jana usiku huku vituo mbali mbali wagombea wa ubunge na urais wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) wakionekana kung’ara zaidi .


Katika jimbo la Njombe Magharibi mgombea ubunge wa jimbo hilo Thomas Nyimbo zaidi ya vituo 10 vya kata ya Ilembula ,Mdandu na Saja ameonyesha kufanya vizuri ukilinganisha na mgombea wa CCM Gyerson Lwenge kama ilivyo katika jimbo la Njombe Kaskazin ambako mgombea wa Chadema Alatanga Nyagawa akionyesha kuvutaka shati mgombe wa CCM Deo Sanga katika maeneo ya Lupembe ,Wangama na baadhi ya maeneo ya Makambako ambako hata hivyo kata ya mji mwema uchaguzi wa udiwani haujapata kufanyika baada ya karatasi ya kupigia kura kukosewa kwa zile za Rukwa kuja kata hiyo na kata hiyo kwenda Rukwa.



Katika jimbo la Iringa mjini mbali ya kujitokeza kasoro kadhaa kwa baadhi ya wana CCM katika kata ya Nduli kushindwa kupiga kkura zao baada ya kukosa majina yao katika daftari la wapiga kura kama ilivyo kituo cha stendi kuu ya mabasi ya mikoani ambako idadi kubwa ya wana Chadema walizuiliwa kupiga kura kwa matatizo kama hayo ,bado Chadema imeonyesha kufanya vizuri katika uchaguzi huo.



Matokeo ya awali katika jimbo la Iringa mjini ambayo yalikuwa yamebandikwa vituoni hadi jana majira ya saa 3 usiku ni pamoja na kituo cha Stendi kuu ambako mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa ( 33) na Prof.Ibrahim Lipumba (1).



Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36) ,mgombea wa Chadema,Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe ( 1)



Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Dk Kikwete ( 58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1),wakati nafasi ya ubunge mgombea wa CCM Mbega ( 39)Msigwa wa Chadema( 90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi ( 5)



Kituo cha Umati namba moja Kikwete ( 98) Dk Slaa 108 Mziray (1) ubunge Mbega ( 82) Msigwa ( 120) Mwakingwe ( 5),Kituo namba 2 umati Kikwete (97) Dk Slaa( 98)Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega ( 73),Msigwa (114) Mwakingwe(8) na kituo cha umati namba 3 Kikwete ( 64) Dk Slaa(57)Prof LIpumba (1) ,ubunge CCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).



Kituo cha FFU namba 1 Urais CCM(47) Chadema( 63) huku ubunge CCM(36) Chadema(68),NCCR-Mageuzi (3) na kituo cha FFU namba 2 Urais CCM( 64) Chadema( 57) na CUF( 1), ubunge CCM(58)Chadema( 64) na NCCR-Mageuzi (3).



Kituo cha IDYDC namba 1 nafasi ya Urais CCM( 62) Chadema(75) na ubunge CCM ( 46) Chadema(84) na NCCR-mageuzi (5) na kituo cha IDYDC namba 2 Urais CCM (82) Chadema(68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM( 67) Chadema(78) na NCCR mageuzi (7).



Kituo cha THB Urais CCM (97) Chadema(138) CUF( 3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1) na kituo cha Zimamoto namba 1 Urais CCM(84)Chadema(94) na CUF(2) kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema(84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8) kituo cha soko la Kitanzini namba 1 Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema(68) na CUF(1),ubunge CCM( 70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais (66) Chadema( 77) na CUF( 1) ,ubunge CCM( 49) Chadema(96) NCCR-Mageuzi (1), kituo namba mbili ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni Urais CCM (81) Chadema(81) ,CUF(2) UPDP(1)Ubunge CCM(78)Chadema(108) na NCCR-mageuzi (5)

Hata hivyo matokeo hayo baadhi ya vituo hadi majira ya saa 3.30 usiku yakiwa bado kubandikwa na umati mkubwa wa wananchi wakiwa wamekaa nje ya vituo hivyo wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo huku FFU wakizunguka zunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa kulinda amani japo hakuna vurugu zozote zilizopata kutokea jimbo la Iringa mjini
 
Hivi kweli sugu anafaa kwenda bungeni au ushabiki tu
uanauliza SUGU, huyo mganga wa kienyeji maji marefu na darasa lake la saba anafaaa??
ama anakwenda kuwa waziri wa ulinzi ???:israel::israel::israel::israel:
 
Mariaaa!, Mariaaaaeh! Sikiliza muziki wa awamu ya tano Mariia! kwa kweeeliii sasa nimenaswa sina ujanjaeeeh sina ujanjaaeeh, nasononeka ....:smile-big:
 
October 31, 2010

BREAKINGNEWs MATOKEO YA UCHAGUZI HALI SI NZURI KWA CCM IRINGA




Na Francis Godwin,Iringa



MATOKEO ya awali katika jimbo la Iringa mjini, Njombe Kaskazini na Njombe Magharibi yameanza kutoka jana usiku huku vituo mbali mbali wagombea wa ubunge na urais wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) wakionekana kung'ara zaidi .


Katika jimbo la Njombe Magharibi mgombea ubunge wa jimbo hilo Thomas Nyimbo zaidi ya vituo 10 vya kata ya Ilembula ,Mdandu na Saja ameonyesha kufanya vizuri ukilinganisha na mgombea wa CCM Gyerson Lwenge kama ilivyo katika jimbo la Njombe Kaskazin ambako mgombea wa Chadema Alatanga Nyagawa akionyesha kuvutaka shati mgombe wa CCM Deo Sanga katika maeneo ya Lupembe ,Wangama na baadhi ya maeneo ya Makambako ambako hata hivyo kata ya mji mwema uchaguzi wa udiwani haujapata kufanyika baada ya karatasi ya kupigia kura kukosewa kwa zile za Rukwa kuja kata hiyo na kata hiyo kwenda Rukwa.



Katika jimbo la Iringa mjini mbali ya kujitokeza kasoro kadhaa kwa baadhi ya wana CCM katika kata ya Nduli kushindwa kupiga kkura zao baada ya kukosa majina yao katika daftari la wapiga kura kama ilivyo kituo cha stendi kuu ya mabasi ya mikoani ambako idadi kubwa ya wana Chadema walizuiliwa kupiga kura kwa matatizo kama hayo ,bado Chadema imeonyesha kufanya vizuri katika uchaguzi huo.



Matokeo ya awali katika jimbo la Iringa mjini ambayo yalikuwa yamebandikwa vituoni hadi jana majira ya saa 3 usiku ni pamoja na kituo cha Stendi kuu ambako mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa ( 33) na Prof.Ibrahim Lipumba (1).



Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36) ,mgombea wa Chadema,Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe ( 1)



Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Dk Kikwete ( 58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1),wakati nafasi ya ubunge mgombea wa CCM Mbega ( 39)Msigwa wa Chadema( 90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi ( 5)



Kituo cha Umati namba moja Kikwete ( 98) Dk Slaa 108 Mziray (1) ubunge Mbega ( 82) Msigwa ( 120) Mwakingwe ( 5),Kituo namba 2 umati Kikwete (97) Dk Slaa( 98)Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega ( 73),Msigwa (114) Mwakingwe(8) na kituo cha umati namba 3 Kikwete ( 64) Dk Slaa(57)Prof LIpumba (1) ,ubunge CCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).



Kituo cha FFU namba 1 Urais CCM(47) Chadema( 63) huku ubunge CCM(36) Chadema(68),NCCR-Mageuzi (3) na kituo cha FFU namba 2 Urais CCM( 64) Chadema( 57) na CUF( 1), ubunge CCM(58)Chadema( 64) na NCCR-Mageuzi (3).



Kituo cha IDYDC namba 1 nafasi ya Urais CCM( 62) Chadema(75) na ubunge CCM ( 46) Chadema(84) na NCCR-mageuzi (5) na kituo cha IDYDC namba 2 Urais CCM (82) Chadema(68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM( 67) Chadema(78) na NCCR mageuzi (7).



Kituo cha THB Urais CCM (97) Chadema(138) CUF( 3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1) na kituo cha Zimamoto namba 1 Urais CCM(84)Chadema(94) na CUF(2) kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema(84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8) kituo cha soko la Kitanzini namba 1 Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema(68) na CUF(1),ubunge CCM( 70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais (66) Chadema( 77) na CUF( 1) ,ubunge CCM( 49) Chadema(96) NCCR-Mageuzi (1), kituo namba mbili ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni Urais CCM (81) Chadema(81) ,CUF(2) UPDP(1)Ubunge CCM(78)Chadema(108) na NCCR-mageuzi (5)

Hata hivyo matokeo hayo baadhi ya vituo hadi majira ya saa 3.30 usiku yakiwa bado kubandikwa na umati mkubwa wa wananchi wakiwa wamekaa nje ya vituo hivyo wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo huku FFU wakizunguka zunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa kulinda amani japo hakuna vurugu zozote zilizopata kutokea jimbo la Iringa mjini

unasema matokeo yalibandikwa JANA wewe uko nchi gani? ama hizi habari zako ni za miaka ya nyuma?
sija kusoma vyema .hebu rekebisha taarifa
 
Back
Top Bottom