sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!
Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!
Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!