Katumbi Jr
Member
- Sep 18, 2017
- 26
- 11
Jaman wale wa Dakawa Tc,Vp Kuhusu Joining Instructions?
Thanks MkuuJoining instruction hutolewa chuoni huko ulikopata tafuta website yao ndio unawez kuona joining instruction ikiwa tayar wametoa
Karibu Mtwara Mrembo... mwenyeji wako nipo nitakupokeaJamani kwa wale tulopangiwaaaa nursing and midwifery mtwaraaa tujuane mapema
Mbona bado awatumi inakuwajeawe kama anataka kulogin aingise username yake(namba ya form four na mwaka aliomaliza form 4) kwa format ya S3434/0053/2016 halafu sehemu ya password sasijaze aclick forgot password, watamtumia kwenye e-mail adress na namba ya simu aliyojaza wakati wa usajili.
Your namba pleaseKaribu Mtwara Mrembo... mwenyeji wako nipo nitakupokea
Kila chuo na utaratibu wakeOyo vyuo vya private masomo yanaanza lini wadau
Point ngap kivipinimejaribu kuomba lugalo, kibaha , muhimbili majanga. huko competition ilikuwaje. point ngapi wamechukua
yaani katika profile yako si wanaonyesha waliochaguliwa ilikuwa point ngapi? au kwa waliopata hawaweki. Tuliokosa walikuwa wanakupa na point aliyechaguliwa wa mwisho.Point ngap kivipi
Nitupie zako PM.. then me nitakucheckKila chuo na utaratibu wake
Wakitoa joining nishtueNdio mkuu
Hahaare you a girl maana dume kwenda huko majanga
Mkuu ujapata tenanimejaribu kuomba lugalo, kibaha , muhimbili majanga. huko competition ilikuwaje. point ngapi wamechukua
KeshoOyo vyuo vya private masomo yanaanza lini wadau
Tumejaribu hvo but imekataaa jaman dah afu sku zenyewe chache kweli yaaaanLog out then register tebah