dottomasanja
Member
- Nov 26, 2014
- 64
- 15
Zimetokaaaa linidiploma selection zake zishatoka lakin
Zimetokaaaa linidiploma selection zake zishatoka lakin
Ok poa manKawaida tu mkuu
Nitaomba unichek pia mkuu wakitoa hiyo taarifaSawa
Alooo uliyataka mwenyew alooo kuacha advance uliona ni deal alooo polee sana mkuuu alooohAloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
Naomba kujua yaliko màna kuna dogo anaomba nimtazamie lakini siyaoni, naomba msaada hata wa link
Aloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
Advance nao ni wengi sikuhizi wanaoaply diploma so hawawez kuwaacha wakakuchukua wewAloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
Tanzania One huyo..!!Kuna dogo analia tu hapa kusahau username na password na hajui kama kachaguliwa au la
vp kmekuaje nakipataMwenye kukifahamu chuo cha machame cha C.O
Waliochaguliwa lindi clinical officer tufahamiane jamanvp kmekuaje nakipata
Dogo naona mna mbwembwe nyingii wakat wenzenu wanaenda kupga MD lakn hawaongeiWaliochaguliwa lindi clinical officer tufahamiane jaman