Clever505
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 1,099
- 2,032
Kwa uelewa wangu mdogo wa boxing baada ya kuufatilia ni kwamba,
Points zinapotangazwa mfano 56 kwa 59 bila kutaja majina ni kwamba yule bondia aliyeingia mwanzo points zake ni zile zinazotajwa mwanzo na zinazotajwa mwisho ni za bondia wa mwisho kuingia. Na hata majina yanavyoandikwa kwenye tv jina la aliyeingia mwanzo linaandikwa mwanzo kisha linafata la mwenzake,.
Sasa Jana pambano la Mandonga, yule jamaa aliyepigana nae aliingia mwanzo na jina liliandikwa mwanzo
Othman kiluwa V Karim Mandonga
Na points zilipoanza kutajwa, points za mwanzo zilikuwa ndogo kuliko za pili kwa majaji wote nikashangaa Mandonga hatangazwi mshindi.
Naomba wenye uelewa zaidi wa hili Jambo anijuze.
Points zinapotangazwa mfano 56 kwa 59 bila kutaja majina ni kwamba yule bondia aliyeingia mwanzo points zake ni zile zinazotajwa mwanzo na zinazotajwa mwisho ni za bondia wa mwisho kuingia. Na hata majina yanavyoandikwa kwenye tv jina la aliyeingia mwanzo linaandikwa mwanzo kisha linafata la mwenzake,.
Sasa Jana pambano la Mandonga, yule jamaa aliyepigana nae aliingia mwanzo na jina liliandikwa mwanzo
Othman kiluwa V Karim Mandonga
Na points zilipoanza kutajwa, points za mwanzo zilikuwa ndogo kuliko za pili kwa majaji wote nikashangaa Mandonga hatangazwi mshindi.
Naomba wenye uelewa zaidi wa hili Jambo anijuze.