Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
wabongo bwana kutofanya vizuri academics sio kwamba hana kitu kichwani. Mfumo wetu wa elimu uko one sided ndio maana wanashindwa wengi.
kuna watu wana vipaji tofuti vimeshindwa k kuibuliwa sababu ya kasumba ya physics , hesabu na history.
Life is not about all about academics.
Kuna watu wanaishi kwa kupiga kasia tu ulaya hata ukimuuliza archemedes principle hajui.
Hapo jirani kenya kuna wakimbiaji ukisikia wanhojiwa kingereza unajua kuwa hata hicho wanachoongea wamejifunza juzi juzi.
Inawezekana kweli kibonde hakufanya vizuri but tusisababishe tufanye kila mtu atake kwenda chuo kikuu ndio ajisikie kuwa ni mtanzania .
Nchi haiwezi kuendeshwa na wavaa tai tu na mainjinia. Tuache kuweka siasa na unafiki
Mkosoeni kibonde kwa hoja zake
Sawa kwa mizania hiyo hiyo huwezi kunywa Form 4 kisha ukajifanya kuwasagia UDSM kwa mtindo unaoonyesha kwamba wewe mi zaidi kielimu.
Kam umekunywa kwenye hii Formal Education, Wasomi wakiongea Funga Bakuli lako hujui kitu huna uwezacho kujadili.
Subiri akina Professa Maji Marefu wakiongea nawe udakie.
Mambo ya kwenye Mdigirii waachie Wadigirii wenyewe.
Jamii ya Akina Kibonde ni Lazima wakome kuringa KIMDIGIRII.( ACCADEMICALLY)