Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
mzima man......
Hivi Yo Yo wewe ni deen gani hadi polisi wahangaike na wewe?
mzima man......
Anatumiwa huyo jameniasante kwa kutufumbua macho maana mwanzoni (since CTN i guess) nilidhani alikuwa >MBA holder kutokana na jeuri aliyonayo. Fikiria huyu mtu ndiye anatumiwa na watawala kuponda watu wenye vision ya kuiondoa TZ hapa ilipo!!!!!! HAELEWI KITU mbali na kuongea sana. Ili suala ni nyeti ukichukulia umuhimu wa media on the transformation process, fanyeni homework kidogo juu ya upeo wa READIO PRESENTERS ZA MAJIRANI ZETU ndio ujue kuwa huyu Kibonde hafai!!! Issue zake ni kunyemelea complimentary za matukio ili aonekane lakini matokeo ni aibu ndogo tu maana zipo nyingi zaidi
nahisi kibonde akiondoka hio redio ratings zake itashuka na pengine kufa,haya madudu yake ndio yanayoipa chati hio redio:twitch:
Hapo tu mwisho wa yote UDSM hawafai kabisaa lol!!!!wana udsm please tusaidieni ku scan ikisambazwa facebook kazi itakuwa imekwisha!
hata hao aliokuwa anawaponda mkapa bado kibonde hajawafikiandio hao aliokuwa akiwaponda ben mkapa
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Ana dini huyu mzee waKAYAHivi Yo Yo wewe ni deen gani hadi polisi wahangaike na wewe?
Ni kweli si vyema kwa waandishi na wana media au kwa maneno mengine watu wapoongea naumma yapasa kuwa makini sana haya maswala ya kushadadia na kuweka maslahi ya wachache kwenye mambo ya msingi ndiyo yanazaa ya kibonde, na kwa taarifa yenu kibonde anasakwa juzi usiku walimwendea nyumabi kwake kwa nia ya kumuua. Pamoja na yote hayo nichukue fursa hii kumuunga mkono aliyesema tumpuuze maana hata grade zake za form four zishaonesha ni mtu wa aina gani. Pia wana UDSM wakiendeleza nia ya kumuua watakaohusika wote na victims wataweza kuingia matatani kwani huwezi jua unawezaenda mtaani kwa watu mkaitiwa wezi mkauwa au kujeruhiwa bila kutambulika ni mwanafunzi ama la maana hutakua na umeandikwa usoni. Pili kwa msomi kama umekuwa umedhalilishwa au umekerwa na media flani ni bora kuishitaki mahakamani kama huna imani na mahakama nenda media council of tanzania pale kina shivji na senkoro mvungi watakusaidia sana. Tatu mking'ang'ania kibonde mtapoteza hoja yenu ya msingi na kuonekana wahuni kama alivyosema. Mwisho kuna umuhimu mkubwa sana wa wanafunzi wa vyuo vikuu kuwatosa wale wote wanaowaibisha na kumpa kibonde cha kuongea maana hao ndiyo anakutana anao kwenye kichen paty na ubaba party may be. kuwaonya wanao vaa nguo za darasani na nguo ambazo kwa macho ya kawaida ni ya kichangudoa, kuwaonya wachache dhidi ya walevi kama wanaharakati walivyokua wananuka pombe ikimaanisha hawana comfidence mpaka wanywe pombe ndiyo waweze kuongea mbele ya waziri au kuhimiza wenzao kuandamana, kuwaonya wale wote wanoacha kusoma kwa bidii na kuishia kula stori, kuwaazsa wenzenu kuwa serious na masomao na siyo mwanafunzi anakua na note book moja kwa masmo matatu library haingii anaishia kupiga madaftari ya wenzao copy bila kujua kila mtu anatake note kwa kadiri alivyoelewa.
Nafikiri Kibonde ni Mtangazaji BORA kwa sasa hivi Tanzania.
Mtangazaji ni lazima watu wakuongelee sana.
Haijalishi kwa mabaya au mazuri. Kibonde kila siku mnamtaja, duu!!! Jamaa kweli yuko juu.
Bahati mbaya/nzuri kijijini kwetu huku Sikonge, hii Radio haifiki.
Yo Yo mzima? Nilisikia Polisi wamekuweka Lumpango!!!! Polisi anamkamata SOULJah Boy???