lolz hawa watoto hawana adabu kudadadeki bwahahahahahahaha.......leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
aisee ni kweli kibonde inaipaisha sana clauds! Fanya madudu zaidi kibonde good!nahisi kibonde akiondoka hio redio ratings zake itashuka na pengine kufa,haya madudu yake ndio yanayoipa chati hio redio:twitch:
Nafikiri Kibonde ni Mtangazaji BORA kwa sasa hivi Tanzania.
Mtangazaji ni lazima watu wakuongelee sana.
Haijalishi kwa mabaya au mazuri. Kibonde kila siku mnamtaja, duu!!! Jamaa kweli yuko juu.
Bahati mbaya/nzuri kijijini kwetu huku Sikonge, hii Radio haifiki.
Yo Yo mzima? Nilisikia Polisi wamekuweka Lumpango!!!! Polisi anamkamata SOULJah Boy???
mzima man......Yo Yo mzima? Nilisikia Polisi wamekuweka Lumpango!!!! Polisi anamkamata SOULJah Boy???