MATOKEO YA GOLI LA MAMA: TAIFA STARS WAANZA CHAN KIBABE

MATOKEO YA GOLI LA MAMA: TAIFA STARS WAANZA CHAN KIBABE

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Timu ya Taifa ya wanaume ya mpira wa miguu wametoa burudani la kibabe na kuwa washindi dhidi ya timu ya Burkinafaso.

Nakubaliana na huu msemo kuwa msione vyaelea, vimeundwa. Msemo huu unajidhihirisha baada ya mama kuwekeza kwenye mpira kwa kutoa motisha kwa wafungaji kitu ambacho kimewaongezea morali wachezaji.

Matokeo chanya tunayo yaona sasa kwenye mchezo wa kabumbu, ni uwekezaji wa maksudi alioufanya rais SSH.
IMG_4814.jpeg
 
Timu ya Taifa ya wanaume ya mpira wa miguu wametoa burudani la kibabe na kuwa washindi dhidi ya timu ya Burkinafaso.

Nakubaliana na huu msemo kuwa msione vyaelea, vimeundwa. Msemo huu unajidhihirisha baada ya mama kuwekeza kwenye mpira kwa kutoa motisha kwa wafungaji kitu ambacho kimewaongezea morali wachezaji.

Matokeo chanya tunayo yaona sasa kwenye mchezo wa kabumbu, ni uwekezaji wa maksudi alioufanya rais SSH.
View attachment 3428974
Ila huyu mama mpaka atoke madarakani tutasikia mengi....itafikia muda hata KUNYA itasemekana kuwa Mama amwezesha watu kunya
 
Hongera Tanzania kwa ushindi sema siasa zinafanya watu wawe tofauti kidogo..
 
Nasikia kuna b1 tzs wakichukua kombe, uwekezaji mkubwa sana huu.

mitano tena kwa mama.
 
Timu ya Taifa ya wanaume ya mpira wa miguu wametoa burudani la kibabe na kuwa washindi dhidi ya timu ya Burkinafaso.

Nakubaliana na huu msemo kuwa msione vyaelea, vimeundwa. Msemo huu unajidhihirisha baada ya mama kuwekeza kwenye mpira kwa kutoa motisha kwa wafungaji kitu ambacho kimewaongezea morali wachezaji.

Matokeo chanya tunayo yaona sasa kwenye mchezo wa kabumbu, ni uwekezaji wa maksudi alioufanya rais SSH.
View attachment 3428974
takataka
 
Timu ya Taifa ya wanaume ya mpira wa miguu wametoa burudani la kibabe na kuwa washindi dhidi ya timu ya Burkinafaso.

Nakubaliana na huu msemo kuwa msione vyaelea, vimeundwa. Msemo huu unajidhihirisha baada ya mama kuwekeza kwenye mpira kwa kutoa motisha kwa wafungaji kitu ambacho kimewaongezea morali wachezaji.

Matokeo chanya tunayo yaona sasa kwenye mchezo wa kabumbu, ni uwekezaji wa maksudi alioufanya rais SSH.
View attachment 3428974
Umeshindwa hata kuweka matokeo ngapi kwa ngapi?Au ni mcheza kriketi?
 
Back
Top Bottom