Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Dispensaries , sijui vituo vya afya , zahati .. CO ndio wakubwa huko , ndio madaktari huko

Clinical officer n mhitimu anachosomea ni Clinical Medicine

Wa degree anasomea hiyo hiyo Clinical Medicine

MBBS anasomea hiyo hiyo Clinical Medicine + minor surgery
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Waache dharau
 
Taarifa rasmi ni kwamba matokeo ya mwaka wa pili ya udaktari CO yameshikiliwa NACTE kwa vyuo vyote vya afya baada ya kusemekana paper kuvuja Tz nzima pamoja na marking scheme kupelekea GPA kuwa juu mnoo!
Yaaan madogo wangekuwa washachomoka!
Maoni yangu serikali KWANZA ibaini chuo kilichovujisha mitihani itakuwa poa sana na kukifungia kabisaa!
Doktari ni CO? Ndio maana mmnavujisha mitihani
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Ni sawa mtu wa diploma ya uhandisi ajiite engineer! Ni kitu ambacho hakiwezekani!

Kama una hamu ya kuitwa MD kwanza acha wizi wa pepa then rudi chuoni ukagongwe mvua 6 chuoni!

Ukimaliza hapo ndio utajua kwanini CO hawezi kuwa MD.
 
anavyo ji assure kua uliiba mitihani utadhani alikushuhudia... watanzania bwana watu wanaoneana wivu wa kimaendeleo we unaona wivu mwenzio CO akiitwa daktari huo ni upopoma wa Standard Guage

unakazi ya kumwambia huyo mwenzio CO asiije daktari kipindi hicho mwenzio ana maduka ma3 ya dawa wewe wakujiita bwana daktari emudiii huna hata leseni bado

Tena angejua tuu hao wanaojiita madokta wengi walivo vilaza..???????yan bora angekaa kimya tuu wengi ni vilaza tuu tena sana
 
anavyo ji assure kua uliiba mitihani utadhani alikushuhudia... watanzania bwana watu wanaoneana wivu wa kimaendeleo we unaona wivu mwenzio CO akiitwa daktari huo ni upopoma wa Standard Guage

unakazi ya kumwambia huyo mwenzio CO asiije daktari kipindi hicho mwenzio ana maduka ma3 ya dawa wewe wakujiita bwana daktari emudiii huna hata leseni bado
Usichanganye habari, issue sio kuoneana wivu kimaendeleo, issue sio kuwa na maduka au leseni. Ingawa waweza jua CO kasoma nini ila una uelewa mdogo kama MD anasoma nini. Mwite padre padre, bruda bruda. Wote wanafanya kazi kulingana na walichosoma.
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Kwani ukisoma physics ya O-level unafanana na aliyesoma physics ya A-level na aliyesoma physics ya A-level anafanana na aliyesoma physics ya Chuo Kikuu? Yaani umesoma Chemistry yako O-level unataka ufsnsnishwe na Magufuli, na wewe wajiita Mkemia. 😁 Shida yenu nyie CO ni uelewa mdogo saana. Hakuna njia fupi ya kuwa daktari. Kama wataka uwe MD nenda kasome MD au MBBS tena miaka walau mitano.
 
Dispensaries , sijui vituo vya afya , zahati .. CO ndio wakubwa huko , ndio madaktari huko

Clinical officer n mhitimu anachosomea ni Clinical Medicine

Wa degree anasomea hiyo hiyo Clinical Medicine

MBBS anasomea hiyo hiyo Clinical Medicine + minor surgery
Ni sawa na kusema aliyesoma Chemistry ya O-level anafanana na Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Chuo Kikuu. Atajiita Mkemia. Ni ujinga tu na uelewa wa ki clinical officer kufananisha basic clinical medicine ya CO na MD. Hivi ninyi mna shida gani? Najua clinical officers wengi walienda kusoma hiyo course wakidhani watakuwa madaktari, ila baada ya kufika huko wanashangaa hawajafikia level hiyo. Sasa huwa mnataka kulazimisha.
 
Yaani kada ya afya ina utata na wivu sana. Daktari muda wote yupo katika Shari. Hapo wanagombana wenyewe, ukigeuka kuna vita na pharmacists.
Hayo mambo yako wapi wewe? Daktari amuonee wivu Pharmacist? Pharmacist yupi huyo anagombana na daktari? Kwanza utayafahamiana wapi hayo wakati ulipo huoni interaction ya daktari na pharmacist.

Shida ni nyie ambao mliingia kwenye afya mkidhani mtafanana na wenzenu waliosoma masomo ya juu. Mnajitutumua kwa vitu msivyovijua. Ushauri wa bure mkasomee udaktari. Msijitie moyo kwamba ninyi ni madaktari. Shauri yako.
 
Marking scheme ya clinical medicine level 5 huwa hazitumwi vyuoni isipokuwa level 4 so hapo tatizo limeanzia wizarani huko huko wajitafakari.
Kila mwaka mitihani huvuja Ila mwaka huu imezidi
Hapa watu wanajisemea tu. Halafu wakurupukaji wanaanza kukandia bila taarifa rasmi
 
Nimepewa taarifa kua matokea yamefutwa , hivyo wanafunzi wote wanapaswa kurudia mitihan yao kuanzia cat one mpaka cat two then ndo watafanya nacte
Ule mtihan sio wa nacte ni wa wizara

Kwa hiyo wenye mamlaka ya kufuta mtihan ni wizara ya afya
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hujui asilimia kubwa ya wa tz ni vichaa
 
Mnavujisha mitihani maana ni vilaza hata CO na MD hamjui tofauti yake!

Nyie ndio mkifika sehem za kazi mnajiita madokta wakati hata huo uCO mmeupata kwa kuiba mtihani.
Wanajikweza mno,hata vile vya cheti cha CO huitwa Doctor na wanajiita hivyo.
 
Back
Top Bottom