Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Specialist might deserve more hilo halina shida na sio mada, ila nurse na MD , sion sababu ya wao kupishana mshahara, hawa watu wanafanya kazi kubwa sana

Elimu yao huenda n nyepesi sana ila kwenye utendaji wa kazi n kama punda
Utumishi watasema utofauti wa mshahara ni kwasababu md anasoma miaka mingi kuliko nesi..ila kimsingi nesi ndio anapiga kazi asee..tuache utani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjadala huu umeonesha jinsi vijana wanavyopenda kujikweza na kutetea upuuzi.

Kila kazi ina umuhimu wake na ngazi zake. Nitatoa mfano mdogo, katika Physics kuna Newton's laws of motion. Hii hufundishwa Olevel, Alevel, Bachelor, Masters hata PhD katika level tofauti tofauti.

Siamini kuwa kijana wa Olevel anaweza kusema ni mjuzi sawa na aliyefunzwa katika PhD level. Kama akiwa na fikira potofu kama hizo, basi hafai.

Vile vile, pamoja na kuwa Co anafunzwa Anatomy basi anaifahamu kuliko MD. La hasha, huyu anajifunza kutokana na level yake wakati MD anakwenda ndani zaidi na majukumu yake ni tofauti na CO. CO anafunzwa na MD, wakati MD anafunzwa na mtu mwenye masters. Inasikitisha hata jamaa hapo juu analinganisha Nurse na Daktari (MD), ni aibu ya mwaka kwani kila mmoja ana majukumu yake tofauti.

Heshimu profession za wenzenu na kubali aliyekuzidi amekuzidi. Mtu akimaliza six (PCB) akifaulu vizuri anajiunga na MD. Asipofaulu anarudi kusoma Clinical Medicine ili apate qualifications za kusoma MD baada ya kumaliza Diploma yake. Utawezaje kuwalinganisha watu hao kama kichwa chako hakina hitilafu. Kwaheri
Unaonyesha jinsi gani hata hiyo elimu haijakusaidia kukuomboa kifikra..nyie ndio mnaosoma mje kuajiriwa sio kuelimika..hujui kna wengi walimaliza olevo wakaenda diploma na walifalu vzr tu.

Kuhusu md na nesi kiutendaji wanatofautiana ila kiufanyaji kazi nesi ndio wanamzigo mkubwa sana katika sekta y afya..sehemu gani hospitali nesi haingii kuanzia kumpokea mgojwa..hadi kumtoa mgonjwa nesi yupo..they deserve better wala sio kwa unafiki ndio ukweli.

N.b mds ni co aliyechangamka tu..majukumu ni yale yale..digrii isikupumbaze.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonyesha jinsi gani hata hiyo elimu haijakusaidia kukuomboa kifikra..nyie ndio mnaosoma mje kuajiriwa sio kuelimika..hujui kna wengi walimaliza olevo wakaenda diploma na walifalu vzr tu.

Kuhusu md na nesi kiutendaji wanatofautiana ila kiufanyaji kazi nesi ndio wanamzigo mkubwa sana katika sekta y afya..sehemu gani hospitali nesi haingii kuanzia kumpokea mgojwa..hadi kumtoa mgonjwa nesi yupo..they deserve better wala sio kwa unafiki ndio ukweli.

N.b mds ni co aliyechangamka tu..majukumu ni yale yale..digrii isikupumbaze.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonesha kukurupuka tu. Acha kujibu kihisia, soma andiko ndipo ujibu. Ni wazimu mtu aliyeingia darasa kuandika sentenso hiyo nyekundu
 
Mjadala huu umeonesha jinsi vijana wanavyopenda kujikweza na kutetea upuuzi.

Kila kazi ina umuhimu wake na ngazi zake. Nitatoa mfano mdogo, katika Physics kuna Newton's laws of motion. Hii hufundishwa Olevel, Alevel, Bachelor, Masters hata PhD katika level tofauti tofauti.

Siamini kuwa kijana wa Olevel anaweza kusema ni mjuzi sawa na aliyefunzwa katika PhD level. Kama akiwa na fikira potofu kama hizo, basi hafai.

Vile vile, pamoja na kuwa Co anafunzwa Anatomy basi anaifahamu kuliko MD. La hasha, huyu anajifunza kutokana na level yake wakati MD anakwenda ndani zaidi na majukumu yake ni tofauti na CO. CO anafunzwa na MD, wakati MD anafunzwa na mtu mwenye masters. Inasikitisha hata jamaa hapo juu analinganisha Nurse na Daktari (MD), ni aibu ya mwaka kwani kila mmoja ana majukumu yake tofauti.

Heshimu profession za wenzenu na kubali aliyekuzidi amekuzidi. Mtu akimaliza six (PCB) akifaulu vizuri anajiunga na MD. Asipofaulu anarudi kusoma Clinical Medicine ili apate qualifications za kusoma MD baada ya kumaliza Diploma yake. Utawezaje kuwalinganisha watu hao kama kichwa chako hakina hitilafu. Kwaheri
lecture anaemfunza MD n huyo huyo anae mfunza CO

Prof anae mfunza MD n huyo huyo anae mfunza CO

Hata hii mitihan iliyovuja, sehem ya watunzi n ma professor

Governing body ya MD n hiyo hiyo kwa CO's

Na kwenye clinical rotations, zile morning briefing hua unawakuta pamoja
 
lecture anaemfunza MD n huyo huyo anae mfunza CO

Prof anae mfunza MD n huyo huyo anae mfunza CO

Hata hii mitihan iliyovuja, sehem ya watunzi n ma professor

Governing body ya MD n hiyo hiyo kwa CO's
Kitu hujui nyamaza! Hawezi lecturer akamfundisha CO. Lecturer atamfundisha MD! CO anafundishwa na Tutors
 
Kitu hujui nyamaza! Hawezi lecturer akamfundisha CO. Lecturer atamfundisha MD! CO anafundishwa na Tutors
Ukipitia conversation yote kwenye uzi huwez kuona lugha mbaya kwa mtu tofaut na ww, wajua n kwann? Wote walioshiriki hapa it's either ni MD , Specialist au CO's .. ndio maana huon hata hoja zikipingana sana , sehem wanaafikiana sehem hatuafikian

Sasa ww sio mmoja wetu , ndio maana badala ya kuweka hoja mezani unaweka kichwa kilicho kitupu , mada yangu nawe imeishia hapa
 
Ukipitia conversation yote kwenye uzi huwez kuona lugha mbaya kwa mtu tofaut na ww, wajua n kwann? Wote walioshiriki hapa it's either ni MD , Specialist au CO's .. ndio maana huon hata hoja zikipingana sana , sehem wanaafikiana sehem hatuafikian

Sasa ww sio mmoja wetu , ndio maana badala ya kuweka hoja mezani unaweka kichwa kilicho kitupu , mada yangu nawe imeishia hapa
bwana mdogo uelewa wako ni mfinyu sana,lecturer gani au professor gani apoteze muda wake kufundisha CO , CO wanafundishwa na MD Tanzania nzima.
Kama hujui vitu uliza tukueleweshe usiongee ujinga hapa. na kwa taarifa yako kuna vyuo CO wanafundishwa na AMO , nchi ngumu sana hii.
 
bwana mdogo uelewa wako ni mfinyu sana,lecturer gani au professor gani apoteze muda wake kufundisha CO , CO wanafundishwa na MD Tanzania nzima.
Kama hujui vitu uliza tukueleweshe usiongee ujinga hapa. na kwa taarifa yako kuna vyuo CO wanafundishwa na AMO , nchi ngumu sana hii.
Nakuambia sababu nimepita huko

Hakuna AMO mwenye uwezo wa kumfundisha CEO , Hata MD n mmoja mmoja sana

Kwanza I think Nina module ya Anatomy.. ngoja nikupipigie picha uone walio iandaa, nikifika tu home, i think ipo
 
MD=general practitioner...hana tofaut na CO ..GP kaz yake kuandika referral kwenda kwa specialist.... kama MD unataka respect au kucompete na CO au kujifanya bora... kasome specialization...Over
MD ni degree inayojitosheleza na sio lazima MD asome medical specialist.....MD anaweza soma master yeyote ya science na akapractise chochote nje ya medicine....ndio mana akaitwa MD......unclassified degree
 
Yaan nyie mnaojiita madaktar ndio mliofanya figisu hadi degree ya clinical Officer ikafutwa Tanzania nyie....chuki tuu zimewajaa
Degree ya clinical officer haipo popote duniani....kuna sheria na miongozi ya kuanzisha degree.....waulizwe TCU
 
Ni nani? Na kwann ofisi yake iitwe ofisi ya Daktari?
CO kwa kiswahili no mganga,MD anaweza pia kua mganga(clinician).
Duniani ili uwe daktari.
1.Lazima usomee MD
2.upewe phD ya heshima kutoka chuo kikuu.
3.Usomee phD,.....baada ya kusoma degree nyingine mbili, tofauti na MD,na BVM
 
Degree ya clinical officer haipo popote duniani....kuna sheria na miongozi ya kuanzisha degree.....waulizwe TCU
I think alikosea, kulikua na mchakato huo, watu wa CO walitaka iwepo degree yao, wanaona n dharau kuungwa na watu wa MD kusoma upya
 
Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
Clinician/utabibu ni sehemu ya masomo ya MD,.....MD anaweza kua researcher,programme manager wa public health issues,scientist.....etc......CO yeye ni typical pure clinical officer......bado hujaona tofauti?
 
CO kwa kiswahili no mganga,MD anaweza pia kua mganga(clinician).
Duniani ili uwe daktari.
1.Lazima usomee MD
2.upewe phD ya heshima kutoka chuo kikuu.
3.Usomee phD,.....baada ya kusoma degree nyingine mbili, tofauti na MD,na BVM
Unafahamu Mganga kwa kizungu ni Physician?? Na mwenzako kule juu alisema CO ni non- Physician ? ..

Kila mtu anavuta kwakwe, n kukubal kutokukubaliana
 
Kitu kikimshinda CO ... most likely MD nae hafanyi kitu, hawa watu wamesoma general tu , hawana u specialist wowote

Labda ukute kaongeza vikoz vidogo vidogo vile
MD hasomi ili asishindwe na kitu.......hio ni complete packaje inayopatikana baada ya miaka 6 ya kumaliza masomo........na wala kua specialist si bora kuliko MD,.....ipo kwa ajili ya kutatua changamoto fulani,mfano ENT surgery hatibu BP,ila MD anatibu vizuri tu......hakuna ulinganisho wa kozi.
Na hii maana yake ni kua CO sio Daktari.......haimaanishi CO sio muhimu kuliko MD
 
Shida ni digrii miaka mi5 ndio kinawatesa watu..na kujiona superior..wakati kazi ni zile zile..utadhani co kazi yake ni kuua watu.

#MaendeleoHayanaChama
CO hasomi psychiatry, eg.kazi zinawezaje kua zile zile.......hujawahi ona matangazo ya kazi kuona majukumu ya MD na CO.........MD anaweza soma hata master ya journalism ......kitu ambacho hata kwa mtu mwenye degree ya maabara hawezi......ndio itakua CO?
 
Clinician/utabibu ni sehemu ya masomo ya MD,.....MD anaweza kua researcher,programme manager wa public health issues,scientist.....etc......CO yeye ni typical pure clinical officer......bado hujaona tofauti?
Tutafute mtu wa tatu asaidie

Majukum hayo hata CO anafanya

Kimsingi kwenye utendaji hakuna tofaut , utofaut uliopo ni kwenye elimu ,mmoja anaelimu zaid ya mwenzie

Lkn elimu hiyo inabak kua ni general haina u specialist wowote , ndio maana wote n watu wa kaunta
Screenshot_20211027-135955.jpg
 
C.O ni daktari wa ngazi ya diploma,acha kukariri majina mzee.

C.O na M.D tofauti yao ni maarifa lakini wanatambulika katika dhima ile ile ya kutibu.
Hamna Diploma ya udaktari......udaktari hauna shortcut......ni lazima uwe MD au phD.........kuna Diploma ya utabibu.......utabibu ni moja ya kozi daktari ambazo anazisoma chuoni
 
Mkuu watu wanaosema hivyo ni wajinga waliotunukiwa elimu.

Kama ambavyo kuna diploma ya pharmacy na ualimu basi ndivyo hivyo kwenye udaktari kuna diploma yake ambayo ndio hiyo clinical medicine
Huwezi fananisha ualimu,pharmacy na MD.....hizo ni fani tofauti zenye malengo tofauti.........mtu mwenye bachelor ya MD anaitwa doctor tayari,wakati education hadi uwe na PhD ndio uwe doctor
 
Back
Top Bottom