Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
TBC wamepoteza mwelekeo. hivi kweli wakati wa kampeni wanatangaza ccm na sau halafu wanaiacha chadema. uwiano hapo sijui ulikuwa wapi! Bora itv walikuwa wakibalanceNahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....
Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...
TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.