MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Zipo kompyuta nane za kusaidia kuhesabu matokeo ya jumla, zilikuwa pungufu hapo awali,

Matokeo ya Ngerananyuki yatachelewa maana ni mbali na kituo kikuu

Nimeamua kuelekea katika kituo kikuu cha kujumlisha kura liwalo na liwe- Tilata/STAR TV
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tutawanig'iniza kama popo, jipeni moyo CDM mutakimbia si muda mrefu hapa JF.
Taarifa nilizonazo mpaka muda huu mgombea wa CDM (Nasari) anaelekea kukubali kushindwa wakati Slaa na wenzake wameanza kuufyata na kuelekea Dar.

Tembo amekalishwa.
Ccm imefia arumeru.
Nilipata kunena hili.
 
Lete DATA wakuu twende sawa,yaani huku nilipo nina furaha iliyoje...PEOPLE's POWER + M4C mpaka kieleweke...MAGAMBA watajibeba na kujuta
 
Wamejitokeza watu wachache katika uchaguzi wa Arumeru wengi wao wakiwa ni wanawake na wazee (Source: ITV)

My take
Kwa namna ya ninavyofuatilia matokeo mwelekeo unaonyesha kuwa CDM kapata kura nyingiu hadi sasa zaidi ya CCM. Hii inanipa picha kuwa hata watu wazima na wanawake ambao kwa miongo kadhaa sasa wamekuwa wakisemekana kuichagua zaidi CCM sasa wamechoka na kuipigia kura Chadema.

kaka,hayo ni matokeo kwa baadhi ya vituo kumbuka vituo viko vingi sana ujue kuna kata 15 na kila kata ina vituo vyake kama ni mfuatiliaji uchaguzi wa igunga ulikuwa hivyo hivyo mwisho wa siku hali ikawa tata kwa CDM!
 
Kama kweli mshindi atakuwa ni Chadema, basi naona watanzania taratibu wanaanza kuwa na uelewa hasa wa kutambua kuwa wako hivyo walivyo kutokana na sera mbovu za CCM. Binafsi nitafurahi sana kama Chadema atatangazwa officially mshindi wa Arumeru mashariki.
 
Tutawanig'iniza kama popo, jipeni moyo CDM mutakimbia si muda mrefu hapa JF.
Taarifa nilizonazo mpaka muda huu mgombea wa CDM (Nasari) anaelekea kukubali kushindwa wakati Slaa na wenzake wameanza kuufyata na kuelekea Dar.

umemaliza lini MP dada yangu mpaka ukakimbilia jukwaa hili..!?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom