MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Hamna cha kusubiriwa hapa...CCM imeangukia pua.....so as 2015!!
 
bila kumwaga damu haiwezekani ccm waondoke'sasa swali watanzania tupo tayari kulipa gharama za ukombozi?
 
Nahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....

Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...

TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.
Acheni upotoshaji bana.....

ITV wamesitisha matangazo ya moja kwa moja kupisha taarifa ya Habari na yataendelea baada ya taarifa ya Habari
 
watu 127,455 walioandikishwa katika daftari la kudumu la wapigakura, wanatarajiwa kupiga kura katika vituo 327 ambavyo vimepangwa kwa ajili ya uchaguzi huo

tusubiri tuone hivyo ni vituo ambavyo vinafikika kwa urahisi bado vile vituo ambavyo ccm huwa inachukulia point
 
jamani sisi uku hatupati hata repe la usingizi, hatulali mpaka kieleweke wana arumeru msituangushe
 
Nahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....

Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...

TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.

TBC kweli nao hamnazo,wakati ITV hawajakatiza ghafla kutuma matangazo,wao walikua wanarusha ze komedi replays maana nao sasa hawana jipya.
 
Kwani kuna vituo vingapi vya kupigia kura? Msaada tafadhali..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom