Where is Rejao & Ritz?
Acheni upotoshaji bana.....Nahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....
Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...
TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.
Mbona wakati kata ziko 75 ..CDM walikuwa wana kura alfu tisa na ...vituo vimeongezeka kura zimepungua..ndio maruhani yenyewe au....?
Habari zisizo rasmi ITV wamekatazwa kutangaza matokeo ya Arumeru! BaMwanaasha
weka mwenyewe,...... unangoja nani akuwekee positive ya ccm....Matokeo yaliyo positive kwa CCM hamuyaweki hapa!!
Hamna cha kusubiriwa hapa...CCM imeangukia pua.....so as 2015!!
Nahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....
Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...
TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.
Hamna cha kusubiriwa hapa...CCM imeangukia pua.....so as 2015!!
hapana mkuu umenoti vibayaCDM walikuwa na 9000 sasa wana 6000
CDM walikuwa na 9000 sasa wana 6000