KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Where is Rejao & Ritz?
wapo uvunguni mwa kitanda presha inapanda presha inashuka
Where is Rejao & Ritz?
Labda ameangalia kwa haraka na ku confuse matokeo ya CDM na hiyo diff ambayo kwenye lile jedwali la Tumaini Makene haikuwepo!mimi nachokiona ni kwamba chedema zimeongezeka kura 2000, ccm kura 1000. pointi yako nini labda?
CCM wangemsimamisha Sarakikya walikuwa na nafasi nzuri ya kushinda.
okay... siyo muhimu sana.umeangalia vibaya.
CDM walikuwa na 9000 sasa wana 6000
TBC wamepoteza mwelekeo. hivi kweli wakati wa kampeni wanatangaza ccm na sau halafu wanaiacha chadema. uwiano hapo sijui ulikuwa wapi! Bora itv walikuwa wakibalanceNahisi ITV wamepigwa BITI maana wamekatisha live updates kuhofia kutangaza ukweli na later magamba wakichakachua patachimbika....
Huu ni ujinga wa vyombo vyetu vya habari...
TBC siku ile ya uchaguzi wa MAREKANI walikesha lakini leo wanfanya upu..u..Zi tu hatuwaelewi hawa jamaa.
Kwani kuna vituo vingapi vya kupigia kura? Msaada tafadhali..
Wabe,
Sio kirahisi hivyo mkuu.CCM Watashinda kwa kimbunga.I am saying the truth which will then be proved
hamna cha kusubiriwa hapa...ccm imeangukia pua.....so as 2015!!
January Makamba‏@JMakamba Tough night for us.