MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
chadema waanza kusherehekea ushindi'barabara ya arusha moshi yafungwa'
 
user-online.png
hamada

Today 21:07
Junior MemberArray


Join Date : 25th March 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0



 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Hali si shwari waandishi watishika kutembea usiku huu huko Arumeru- Tilata/STAR TV
 
Mkuu uchaguzi siyo mchezo wa mpira, nina imani kuwa Chadema iliisha shinda kwenye sanduku la kura, ila sina imani kama itapewa official certificate kuwa imeshinda. Tume ya uchaguzi ikichezea matokeo haya basi itakuwa imejichimbia kaburi, na hata kura za maoni za Katiba mpya haitakuwa na legitimacy ya kuzisimamia.

kwel mkuu. Ila Mungu yupo. Chadema ingeshinda
 
Ni imani yetu kuwa wana Arumeru ni waelewa na hawatauangusha umma wa watanzania uliodhamiria kuwafunza adabu majambazi hawa.
 
Tutawanig'iniza kama popo, jipeni moyo CDM mutakimbia si muda mrefu hapa JF.
Taarifa nilizonazo mpaka muda huu mgombea wa CDM (Nasari) anaelekea kukubali kushindwa wakati Slaa na wenzake wameanza kuufyata na kuelekea Dar.

Join Date : 25th March 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received




uwe unauliza kwanza cha kuandika siyo unatuletea stori za vijiwe vya kuvutia bangi.
 
Tutawanig'iniza kama popo, jipeni moyo CDM mutakimbia si muda mrefu hapa JF.
Taarifa nilizonazo mpaka muda huu mgombea wa CDM (Nasari) anaelekea kukubali kushindwa wakati Slaa na wenzake wameanza kuufyata na kuelekea Dar.
oin Date : 25th March 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes


OK sana jamvini ila umeingia vibaya dogo huwa hawaanzi na uongo mapema kiasi hicho unajidhalilisha mapema mno ila nikupe pole tu KARIBU SANA
 
Ameshaupdate, anasema wanasubiri ushindi kesho asbh

Mbona sijaona? Walikuwa wanapongezana na mbunge wa Kigamboni, na Zitto kwa kushinda chaguzi za udiwani na Makamba akasema kuna vijana hata Twitter roho zinataka kuwatoka kwa chuki cha kisiasa, which is true.
 
kata ya ngerenanyuki kuchelewa na inawezekana ccm wameiba
 
Wana Arumeru Mashariki wamefanya uamuzi wa busara sana kuleta mabadiliko.Aluta continua.Tunasubiri msimamizi kutangaza sasa....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom