Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Hawa wote mliowataja ni wa miaka hii tuu. HapoKale walikuepo kina :Kisinani tarimo, Natanaeli Matowo, Paul Kyauka, Aikael Mbowe, Alexanda Itaeli, ,Phillips Sharra Olotu ,Elimonysa Kimei ,Kidumbuyo, Tarawia, A slam Garage.
Wengi naona kuna damu za ki mangi (chief).
 
ndio ni mustafa baunsa fulani asiye na nguvu,patrick ndie alicheza na ukizingatia mali ile ni ya samweli na inasemwa mali ile sio ya td,vipi kashapona lile donda mguuni.
Watu mna habari za ndani balaa,
Mzee TD maarufu kwa mtei
TD alifarik nadhan 2005 alipigwa risasi na vijana wa kazi
Alikua na mabasi ya confort yanakwenda mombasa,kitobo kabla ya kuzidiwa nguv na mhamiko akiwa layland CD na Lang'ata jino moja mswaki wa nini
 
Watu mna habari za ndani balaa,
Mzee TD maarufu kwa mtei
TD alifarik nadhan 2005 alipigwa risasi na vijana wa kazi
Alikua na mabasi ya confort yanakwenda mombasa,kitobo kabla ya kuzidiwa nguv na mhamiko akiwa layland CD na Lang'ata jino moja mswaki wa nini
Umenikumbusha mbali mkuu.
Kwa heshima ya mzee Lang'ata kuna mtaa wake kabisa pembeni ya uwanja wa majengo.

Vijana wa mzee Lang'ata nao wanakimbiza sa hivi
 
Mtoa posti hana jipya anataka kuharibu sifa nzuri ya watu wa Moshi, kwetu pia kuna watu matajiri ila pia wao walipitia njia haramu. Mfano Igurusi Mbeya n.k. hakuna community yenye watu wote wema, ila watu wa Moshi ni wachapa kazi na wenye dedication kwa wanachokifanya. Hatuwezi kuwafikia kama nasi hatutafanya kama wao kuheshimu kinachokupatia kipato.
 
Mtoa posti hana jipya anataka kuharibu sifa nzuri ya watu wa Moshi, kwetu pia kuna watu matajiri ila pia wao walipitia njia haramu. Mfano Igurusi Mbeya n.k. hakuna community yenye watu wote wema, ila watu wa Moshi ni wachapa kazi na wenye dedication kwa wanachokifanya. Hatuwezi kuwafikia kama nasi hatutafanya kama wao kuheshimu kinachokupatia kipato.
Jamani mie nimesema hayo
Wadau ndo wamefunguka
Mie nimeelezea tukio nilolishuhudia enzi nikiwa mtoto
Mwenyewe nimezaliwa na kukuliwa moshi so practically ni mdau wa moshi
Usipanic it's history men
 
Huwezi kujilinganisha nao, wapo sector zote, intelectuals, hadi kazi za chini ambazo sisi tunaona hazifai na wanatokea hapohapo. Ni udhubutu, dedication and focus.
Sijajilinganisha nao
Nimekuuliza swali,jibu simple ni katika kushea story za mo town tu
 
Hela ndio amezikamatia DSM.

Ila before anapajua sana KDC. Vijana wa zamani wanalifaham eneo hilo kwa upekee wake kwenye jambo fulani.

Baada ya hapo alikuja kuwa dereva wa mke wa mtu mzito serikalini then life ndio likabadilika
Sasa kwann agombee moshi mjini?
Alipokulia,why moshi mjini?si ndomana wakamwita yahaya
 
Back
Top Bottom